Kila mnalolipanga linajulikana na wala hamshituki, Jamani ccm jueni kuwa ndani yenu hakuna siri, maana hata miongoni mwenu watu wamechoka na mambo yanavyoenda. Nawashauri muendeshe siasa safi na muache umma utaamua, lakini kwa mbinu zenu hizo za kishetani mtaumbuka, maana kwa sasa hamjui nani ni mwaminifu kwenu, hata hao usalama wa Taifa mnaowatumia mnajidanganya tu, badilikeni.