Azaveli Lwaitama ajiunga CHADEMA rasmi


Kama una bamba yake mpigie,alikuwa akitokea bukoba anakofundisha ktk chuo kikuu cha jokuko akapitia hapa kwny uzinduzi wa kampein ya mgombea ubunge dodoma mjini benson kigaira ambayo imezinduliwa leo rasmi ktk viwanja vya barafu
 
Kesho ndo anatua dar,kama kuna mtu ana namba yenye whatsapp anitumie nimrishie picha aiweke jamvini
 
umeambiwa utunge nsha??
ungesema tu lwaitama yuko nairobi unadhani usingeeleweka!!?

Mzoga wa lidubwana ccm umeanza kutoa harufu kali sijui mtalibebaje kadri siku zinavyosonga.

Nimemuumbua Vilivyo Huyo Mleta Mada Wenu Na Mwambieni Anibishie au Alete Tena Uwongo Kama Siyo Uzushi Wake Mwingine Wa Kumuhusu Dr. Azaveli Lwaitama Nimuumbue Tena. Anadhani JF Imejaa " Wapumbavu Na Malofa? ". Tupo Tunaojitambua Na Kujua Nini Kinaendelea Kila Sekunde, Dakika, Saa Na Siku Zote.
 
Amesema kuwa ktk ccm alikuwa mwanachama mfu sasa ameamua kujiunga rasmi chadema ili aweze kushiriki kikamilifu ktk ukombozi
 
Mwenye namba yenye whatsapp anitumie namba yake nimrushie picha ya lwaitama akiwa hapa dodoma wakti akijiunga rasmi chadema i leo
 
Tiba yenu atuwajibu.kwakua mnaongea pumba...wapumbavu ndio ngao ya ukawa.ukawa daima
 
Mwenye namba yenye whatsapp anitumie namba yake nimrushie picha ya lwaitama akiwa hapa dodoma wakti akijiunga rasmi chadema i leo

niwekee namba ya dr. kwa pm ili nimpigie tafadhali
 

Tulia dozi ikuingie
 
Dr yuko dodoma mda u,mpigieni atawaeleza wazi,huyo anayebisha kaweweseka
 

Attachments

  • IMG-20150830-WA0064.jpg
    150.6 KB · Views: 973
  • IMG-20150830-WA0063.jpg
    91.8 KB · Views: 942
Namfahamu,namkubali ni jembe na zana adimu katika siasa ya Tanzania!nakukubali mwalimu wangu wa PS 220 UDSM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…