Heshima kwenu GTs,
Mimi ni mmojawapo wa alumni wa Azania Secondary. Katika kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma hasa somo la hesabu, napendekeza wanafunzi wote tuliosoma Azania (PCM) tuanzishe award tutakayokuwa tunaitoa kwa BEST student (at least B score) katika mtihani wa form six (National) kila mwaka kwa miaka mitano then tutafanya tathmini kuona impact ya hiyo award. Zawadi inaweza kuwa cash au material thing(s). Namna ya kupata pesa ni kipitia monthly contributions.
Good idea lkn katika swala la michango kwa kila mwz it will be long process ushauri wangu km inawezekana kushilikisha uongozi wa azania sec school then wadau waitwe iwe km fund rising hapo malengo yanaweza kutimia
Good idea lkn katika swala la michango kwa kila mwz it will be long process ushauri wangu km inawezekana kushilikisha uongozi wa azania sec school then wadau waitwe iwe km fund rising hapo malengo yanaweza kutimia
Heshima kwenu GTs,
Mimi ni mmojawapo wa alumni wa Azania Secondary. Katika kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma hasa somo la hesabu, napendekeza wanafunzi wote tuliosoma Azania (PCM) tuanzishe award tutakayokuwa tunaitoa kwa BEST student (at least B score) katika mtihani wa form six (National) kila mwaka kwa miaka mitano then tutafanya tathmini kuona impact ya hiyo award. Zawadi inaweza kuwa cash au material thing(s). Namna ya kupata pesa ni kipitia monthly contributions.
Pole kwa kutoelewa. Kwa kifupi ni kuwa, wanafunzi waliosoma azania sec. miaka ya nyuma wanaanzisha zawadi yao ya kumpa mwanafunzi anayekuwa na highest score kuliko wengine wote katika somo la hesabu. Zawadi hii itatolewa kwa mwanafunzi wa shule ya azania tu na kwa atakayekuwa amepata angalau B form six.
Dah, Aza- BoooooooooY,..!!!! Unanikumbusha enzi za kina Mwl. Maganga ( yaani weewe advance mziima unakuja shule bila tai then huchomekei), mnamkumbuka Mr. Lutwaza...??? Anyway turudi ktk mada husika, mara zote Azaboy ndo' tunaanzisha safari,. Tuweke mikakati, tatizo uchakachuzi..!!!
Sana aisee, enzi hizo Tshs 200/= kila jumamosi mambo yanakua poa. Yaani ilikua ukisikia Azania ujue ni Azania kweli.
Sio sasa watoto wanagonga Div Zero nyingi kuliko hata total of Div 1-4
Sana aisee, enzi hizo Tshs 200/= kila jumamosi mambo yanakua poa. Yaani ilikua ukisikia Azania ujue ni Azania kweli.
Sio sasa watoto wanagonga Div Zero nyingi kuliko hata total of Div 1-4
. "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.
. "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.