ONLY shortlisted candidate can be contacted for interview.....!!!!😛ainkiller:!😛ainkiller:Habari wakuu .. nimepata tetesi kuwa Azania bank wameanza kuita watu kwa ajili ya interview na itafanyika chuo cha IFM .. mwenye updates kamili atujuze maana hata mimi nimeapply lakini sijapigiwa simu.
Ata mimi nimepigiwa cm jana
me nimepigiwa simu leo asubuhi ,,,interview tareh 11 saa 2 asubuhi ....jamani anayejua wanaulizaje hyo written interview atujuze apa
me nimepigiwa simu leo asubuhi ,,,interview tareh 11 saa 2 asubuhi ....jamani anayejua wanaulizaje hyo written interview atujuze apa