bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Kiukweli AzamTv wamejitahidi angalau, ukilinganisha na Tv zingine hapa tz.
Kwa upande wangu hawa jamaa wamethubutu hasa katika kuchukua picha uwanjani, picture mixing, uwekaji wa sijui niite notification katika screen mfano lebel ya timu gani zinacheza katika screen, ball possession, n.k
wanaonyesha kweli wameamua kuleta mageuzi ya kidigital.
Kwa upande wangu hawa jamaa wamethubutu hasa katika kuchukua picha uwanjani, picture mixing, uwekaji wa sijui niite notification katika screen mfano lebel ya timu gani zinacheza katika screen, ball possession, n.k
wanaonyesha kweli wameamua kuleta mageuzi ya kidigital.