Azam wampa mkataba Ongala

Alistalikopaul

JF-Expert Member
Feb 2, 2019
693
1,907
Uongozi wa Azam FC umefikia makubaliano ya kumkabidhi timu aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu, Kally Ongala hadi mwisho wa msimu.

Uamuzi huo umefikiwa kutokana na kiwango bora timu imekionyesha chini yake, hivyo viongozi wameamua kusitisha taratibu za kutafuta Kocha mpya.

SportsArena.
 
Maoni yangu deiwaka sio wa kumuamini sana wengi wakipewa mkataba mambo hubadilika kabisaa vichapo vinaanza kutamalaki.
 
Sasa Azam wataanza kupoteana na mwisho wa msimu wanaleta kocha mwingine
 
hili goma linakuja kugeuka hawataamini waafrika hatuna akili.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…