Azam wampa mkataba Ongala

Alistalikopaul

JF-Expert Member
Feb 2, 2019
691
1,881
Uongozi wa Azam FC umefikia makubaliano ya kumkabidhi timu aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu, Kally Ongala hadi mwisho wa msimu.

Uamuzi huo umefikiwa kutokana na kiwango bora timu imekionyesha chini yake, hivyo viongozi wameamua kusitisha taratibu za kutafuta Kocha mpya.

SportsArena.
 
Sasa Azam wataanza kupoteana na mwisho wa msimu wanaleta kocha mwingine
 
Uongozi wa Azam FC umefikia makubaliano ya kumkabidhi timu aliyekuwa Kaimu Kocha Mkuu, Kally Ongala hadi mwisho wa msimu.

Uamuzi huo umefikiwa kutokana na kiwango bora timu imekionyesha chini yake, hivyo viongozi wameamua kusitisha taratibu za kutafuta Kocha mpya.

SportsArena.
hili goma linakuja kugeuka hawataamini waafrika hatuna akili.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom