Azam two live: Majadiliano ya muungano

mcubic

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
10,310
6,544
Tido muhando anaongoza majadiliano hayo yaliyojikita katika masuala ya muungano.

Waalikwa ni Bashiru Ally, January Makamba, Balozi Karume na Mwenyekiti wa ACT wazalendo Mama Anna Mghwira.

Tufuatilie
 
Tido muhando anaongoza majadiliano hayo yaliyojikita katika masuala ya muungano.

Waalikwa ni Bashiru Ally, January Makamba, Balozi Karume na Mwenyekiti wa ACT wazalendo Mama Anna Mghwira.

Tufuatilie
mkuu umeme umekatika niwekee link ya azam nitazame kupitia sim
 
Naona hakuwa wale wenye mtizamo wa kati ili tupate majadiliano mazuri
Mama yetu Anna yupo vizuri,kazungumza vizuri round ya kwanza kwamba serikali iwe wazi kwa maswala ya Muungano na sio serikali iendavyo sasa kwa kuangalia chama kwanza badala ya wananchi maana unapaswa angalia wananchi wanataka nini then chama baadae
 
Mama yetu Anna yupo vizuri,kazungumza vizuri round ya kwanza kwamba serikali iwe wazi kwa maswala ya Muungano na sio serikali iendavyo sasa kwa kuangalia chama kwanza badala ya wananchi maana unapaswa angalia wananchi wanataka nini then chama baadae
Ni kweli kabisa ......mama kapiga nondo hadi Makamba anatikisa kichwa.
 
Ni kweli kabisa ......mama kapiga nondo hadi Makamba anatikisa kichwa.
Huyu mama ni mwanasiasa wa kweli hajazunguka mbuyu,ye kaung'oa moja kwa moja,nadhani hawa ndio Watanzania wanaopaswa wekwa ikulu pale wawe wanamshauri Rais
 
Huyu mama ni mwanasiasa wa kweli hajazunguka mbuyu,ye kaung'oa moja kwa moja,nadhani hawa ndio Watanzania wanaopaswa wekwa ikulu pale wawe wanamshauri Rais
Upo sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom