AZAM,ZUKU NA DSTV hawawezi kurusha bila kibali cha wamiliki. TCRA walisisitiza juu ya hili ili watumiaji wasije kulaumu kama sasa.
kwa hiyo mvumilie mpaka watakapoamua kuziingiza huko mpate kuziona.
ni vema kutafiti kama unapenda vya nyumbani
"ni vema kutafiti kama unapenda vya nyumbani" KIVIPI?
Kwani local channel zina nini? au mnamiss mizengwe?
AZAM TV imenipa sababu ya kuanza tena kuangalia tv.
lawama zote watupiwe [tcra] kwa sababu ni kama hawapo kabisa wali toa maelekezo kwa wamiliki wote wa makampuni ya vingamuzi vya ndani ya nchi,nilazima kila kampuni [startimes][ting][digitek][contnental][azam tv] ziwe na station 5 za [itv][tbc][star tv][chanel 10][eat tv] sasa na shangaa kwamba [tcra] hawalioni hau ndio sheria hazifuatwi???? sasa kuna maana gani [tcra] kuwepo? ikiwa mtoa huduma mmoja hapewi haki ya kuweka vituo vya station???? wengine kama [star times][ting][digitek][contnental] wana pewa????au bakhresa sio mtanzania???????
mnawaonea tu tcra. Wao wamewapa kampuni 3 tu haki ya kurusha channel za bongo mojawapo ni startimes na wenzake ambao wote wanatumia antena. Hawa wanaotumia madish mfano zuku,azam hawa hawapo kwenye huu mpango na ndo maana wanapatika mikoa yote{setellite} Hawa wengine ni lazima mkubaliane wenyewe kwa wenyewe mfano azam akubaliane na itv. Mfano mzuri ni dstv na wenyewe wanazo channel 3. Ingekuwa ni ruksa dstv wasingekubali kukosa itv nk. Huu ndo mtazamo wangu
mnawaonea tu tcra. Wao wamewapa kampuni 3 tu haki ya kurusha channel za bongo mojawapo ni startimes na wenzake ambao wote wanatumia antena. Hawa wanaotumia madish mfano zuku,azam hawa hawapo kwenye huu mpango na ndo maana wanapatika mikoa yote{setellite} Hawa wengine ni lazima mkubaliane wenyewe kwa wenyewe mfano azam akubaliane na itv. Mfano mzuri ni dstv na wenyewe wanazo channel 3. Ingekuwa ni ruksa dstv wasingekubali kukosa itv nk. Huu ndo mtazamo wangu