Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
Leo nilikua na brother tumetafuta sana azam king’amuzi tumefeli kupata dish lakin zipo antenna. Tumezunguka sana mpaka tukaenda kariakoo tukakutana na mawakala wa azam wanakwambia dish unapata kwa 180,000 kwasababu dish sahv ni adimu wanauza mzigo wa store tu, antena hazifanyi vizuri sokoni hvo mpaka stock ya antena iishe ndo dish zitoke.
Wadau hawajazikubali antenna zimefeli sokoni hivyo wanaforce kuuza kwa nguvu, ikabidi tulipe 180k tupewe dish. Kwa dizaini hii azam wanazingua sana waliletaje antenna bila fanya research kwanza?? Na sisi tulitaka azam kwaajili ya kupata local channels na ligi ya bongo bhs.
Wadau hawajazikubali antenna zimefeli sokoni hivyo wanaforce kuuza kwa nguvu, ikabidi tulipe 180k tupewe dish. Kwa dizaini hii azam wanazingua sana waliletaje antenna bila fanya research kwanza?? Na sisi tulitaka azam kwaajili ya kupata local channels na ligi ya bongo bhs.
Huu ni wizi