Katika matangazo yenu ya mabadiliko ya bei za vifurushi mmeonesha kifurushi cha Azam plus ni Tsh 23000. Ndani ya kifurushi hicho inaonekana clouds plus ni kati ya channel zilizomo. Lakini unapolipia hiyo channel haionekani, huu ni ulaghai. Simu zenu huduma kwa wateja haziiti.