Azam TV nao waanza usanii

Azam TV nao waanza usanii

Azam tv saaafi sana kwa kutuonyesha taifa starz ikikung'utwa na burundi, vp leo wale madogo zetu wa under 20 dhidi ya kenya wataonyesha!!!
 
Sawa hawa jamaa wana mapungufu yao lakini kwa chaneli hizi hapa chini kwa Tsh 12,500 kwa mwezi na hata usipolipa hata senti hizo za bure unapata free si haba kwa akina siye....... wamehaidi kuongeza mambo mazuri kwani ndio wameanza......yaani hizo K24 na NTV ndio tunapayukaaaaa........tuweke akiba kidogo lol.... ukitaka kuenjoy kiviiiile gusa kwa jamaa zetu waleeeee....tena premium...aaah utaenjoy ile mbaya......

FILAMU:
Sinema Zetu
MGM Movies
African Movie Channel
Zee Cinema
Star Gold

MBC1
MB2
MBC3
MBC4
MBCAction
MBCMax


BURUDANI:
Azam 1
Azam 2
Fox Entertainment
FX
e.tv
ZOOM
Star Plus
Zing
Colours


MICHEZO:
Setanta Africa
Kombat Sports
MCS Compact
MCS Extreme

MUZIKI:
MTV BASE
MTV India
Box TV

MAARIFA:
Nat Geo
Discovery Investigation
Discovery Science

MAISHA:
Fine Living
Outdoor
Landscape

HABARI:
BBC News
Al-Jazeera - English
Al-Jazeera - Arabic
ENCA
Times Now

WATOTO:
Kids Co
Nickelodeon
Al-Jazeera - Kids

CHANELI ZA BURE:
TBC
Clouds TV
ZBC
Channel 10
Mlimani TV
KBC
Citizen
KTN

ITV
EATV
Bukkede
NBS
TV West
Urban tv
Citizen tv
Hawa ni super wasanii hapo chanel kibao hazipo...wao wanatoa tu lkn hawaongezi chanel..pia hata remote yao kwenye namba haifanyi kazi,bora hata zuku..
 
K24 ipo hewani,mimi tatizo langu ni remote inaenda kasi kama ndege tulizoziona uwanja wa taifa,muungano day,halafu unapoongeza au kupungjza sauti badala ya kufanya hivyo inaenda kwenye channel utajikuta upoZTC wakati lengo ilikuwa kuongeza au kupunguza sauti,.
Na mwisho ongezeni channel za habari za kimataifa hizo mbili za BBC na Al Jazeera hazitoshi angalau ongezeni SkyNews au DW au CNN
 
K24 ipo hewani,mimi tatizo langu ni remote inaenda kasi kama ndege tulizoziona uwanja wa taifa,muungano day,halafu unapoongeza au kupungjza sauti badala ya kufanya hivyo inaenda kwenye channel utajikuta upoZTC wakati lengo ilikuwa kuongeza au kupunguza sauti,.
Na mwisho ongezeni channel za habari za kimataifa hizo mbili za BBC na Al Jazeera hazitoshi angalau ongezeni SkyNews au DW au CNN

hongera kwa kupata k24 mimi xiko za bongo tu.

tatizo la tv hata kwangu.
 
biashara ya ving'amuzi ni controlled sana na ya tecknolojia kubwa kuna issue nyingi sana za hati miliki watu wanalipa mamilioni ya pesa kupata hizo haki za kuonyesha dstv hakuna atayewaweza hawa waliobaki ni kuendelea kuonyesha channel za kipuuz puuz tu azam, startimes, ting etc ni ujinga mtupu!!!
 
shida kubwa ya azam ni hawatumii mitambo ya kijamii kama facebook na twitter kuelezea watu channel zao, zinaonyesha nini wakati gani etc. wao wanategemea advertisement through watu kuongea. lazima wajimarket
 
Viungambuzi kibao alafu vyote hovyo kabisa ...tuliibiwa jamani bora turudi Tanganyika yetu.
 
Chanel station za nchi hii ni majanga sana, wengi tuliamin kuwa azam media watafanya mapinduz makubwa katika tasnia ya habari hasa visionable kumbe ni majanga tena bora hata hawa ting.
 
Back
Top Bottom