MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
Hizo za michezo ndio kabisaaaaaaa hakuna kitu karibia chanel zote zinaonyesha michezo ya ajabu ajabu, ukikuta wanaonyesha mpira basi ni marudio
Unataka kuona EPL kwa Tsh 12,500? Kuna mechi za live kibao bana sema sio ligi zetu zileee........Kweli tunatamani mambo makubwa zaidi lakini si kigezo cha kupoooooonda utadhani ni sawa na wale wachina bana.....