Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Azam TV
Wadau,
Tunapokea taarifa kutoka kwenu
kuwa chanel za ZBC,K24 na NTV
zinaandika ACCESS DENIED.
Kuhusu channel hizi za Kenya yaani
K24 na NTV,hazitoweza tena
kupatikana ndani ya Azam TV kwani
tumepaswa kuziondoa kutokana na
kutokuwa na haki za kuendelea
kuzirusha nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Wahusika wa hizo
chanel,wametutaka tuzitoe na
hazipaswi kuoneshwa nje ya mipaka
ya Kenya...poleni kwa usumbufu
wowote mliyoupata na
utakaojitokeza.
Kuhusu ZBC sasa imerudi hewani
lilikuwa ni tatizo la kiufundi tu lakini
sasa limeshashughulikiwa na
inaruka kama kawaida.
Azam TV Burudani kwa Wote.
Wadau,
Tunapokea taarifa kutoka kwenu
kuwa chanel za ZBC,K24 na NTV
zinaandika ACCESS DENIED.
Kuhusu channel hizi za Kenya yaani
K24 na NTV,hazitoweza tena
kupatikana ndani ya Azam TV kwani
tumepaswa kuziondoa kutokana na
kutokuwa na haki za kuendelea
kuzirusha nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Wahusika wa hizo
chanel,wametutaka tuzitoe na
hazipaswi kuoneshwa nje ya mipaka
ya Kenya...poleni kwa usumbufu
wowote mliyoupata na
utakaojitokeza.
Kuhusu ZBC sasa imerudi hewani
lilikuwa ni tatizo la kiufundi tu lakini
sasa limeshashughulikiwa na
inaruka kama kawaida.
Azam TV Burudani kwa Wote.