Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,364
baada ya kushinda tenda ya kuonesha ligi kuu tanzania..baada ya kuishinda super sports ya afrika kusini
kila timu kupewa mil 100....
NB:kumbe azam tv wako vzr zaidi ya super sports..?
kwa maana ya wataalaam. na vifaaa
je tenda ilikua wazi kiasi gani?
source..the citezen today
kila timu kupewa mil 100....
NB:kumbe azam tv wako vzr zaidi ya super sports..?
kwa maana ya wataalaam. na vifaaa
je tenda ilikua wazi kiasi gani?
source..the citezen today