Azam tv kuonesha ligi kuu bara

Azam tv kuonesha ligi kuu bara

Kipaji Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
2,280
Reaction score
1,364
baada ya kushinda tenda ya kuonesha ligi kuu tanzania..baada ya kuishinda super sports ya afrika kusini
kila timu kupewa mil 100....

NB:kumbe azam tv wako vzr zaidi ya super sports..?
kwa maana ya wataalaam. na vifaaa

je tenda ilikua wazi kiasi gani?

source..the citezen today
 
Mmmh!! nina mchanganyiko wa furaha na huzuni kwa hii habari...

Huzuni...
Wachezaji wetu watakuwa wamekosa fursa ya kuonekana nje ya nchi (Hapa nimeandika nikiwa na hisia kuwa coverage ya Azam TV haitakuwa hadi nje ya mipaka ya TZ).

Furaha...
Kama Azam TV ndio wataopewa shavu, basi ligi hii kwa kiasi kikubwa itaweza kuonekana kwa Watanzania wote kwa unafuu zaidi.
 
baada ya kushinda tenda ya kuonesha ligi kuu tanzania..baada ya kuishinda super sports ya afrika kusini
kila timu kupewa mil 100....

NB:kumbe azam tv wako vzr zaidi ya super sports..?
kwa maana ya wataalaam. na vifaaa

je tenda ilikua wazi kiasi gani?

source..the citezen today


Mcheza kwao hutunzwa, wanatucheelwesha tu, kwani hata mwaka Juzi na Jana, Star TV waliishinda hiyo Supersport, lakini walichokifanya Star Tv ni aibu tupu.
 
ligi ya bongo haina mvuto.
labla zinapokutana tim kubwa lakin za wenze2 inapokutana tim kubwa kwa ndogo zote zina mwamko.
 
ligi ya bongo haina mvuto.
labla zinapokutana tim kubwa lakin za wenze2 inapokutana tim kubwa kwa ndogo zote zina mwamko.

hujui mpira na uzalendo pia huna!
Wao walianzaje?au walizaliwa wanatembea?
Mimi hadi game ya mchangani natazama,tena nasubiri kuona Ashanti,Mbeya city na Rhino wakitoa upinzani ktk azamtv
 
Mmmh!! nina mchanganyiko wa furaha na huzuni kwa hii habari...

Huzuni...
Wachezaji wetu watakuwa wamekosa fursa ya kuonekana nje ya nchi (Hapa nimeandika nikiwa na hisia kuwa coverage ya Azam TV haitakuwa hadi nje ya mipaka ya TZ).

Furaha...
Kama Azam TV ndio wataopewa shavu, basi ligi hii kwa kiasi kikubwa itaweza kuonekana kwa Watanzania wote kwa unafuu zaidi.

kweli watabaki kua wahapa hapa
 
Hivi Azam TV imeshaanza kurusha matangazo yake ama bado iko kwenye mchakato wa kuanzishwa (kwenye makaratasi)?
 
Tenda kashinda wakati haipo... hii ishakuwa kama Richmond..... au ni Azam ya Arabuni
 
hujui mpira na uzalendo pia huna!
Wao walianzaje?au walizaliwa wanatembea?
Mimi hadi game ya mchangani natazama,tena nasubiri kuona Ashanti,Mbeya city na Rhino wakitoa upinzani ktk azamtv
Huyo amekata tamaa aisee maana mtu huanza kutambaa kisha anasimama dede then anakimbia, hilo si tatizo la Tz peke yetu bali ni la ukanda mzima ila soon mambo yatakuwa mazuri kwa kuwa Uganda sasa hivi kisoka wako juu ya Tz na Kenye pia wenzetu Kenya wameanza kupeleka wachezaji ulaya hivyo kwa kuwa tunatoka ukanda mmoja tuna imani tutaambukizwa soka la ulaya mwisho wa siku kiwango kitaongezeka
 
hiyo azam tv ishawahi kuonesha mpira wapi? usikute kamera moja uwanja mzima replay baada ya miez 2.
 
Ni vema kuwa na mabadiliko ili kuleta ushindani na vema kama watanzania wataonyesha uwezo badala kutegemea wageni kwa kila kitu. Let's support Azam tv to bring the change, huwezi kufanikiwa bila kuthubutu
 
simba tv itaamishiwa azam tv baada ya mitambo kufungwa, wana msimbazi kaeni mkao wa kula
 
ngoja nisearch azam tv kwenye king'amuzi changu hapa!!!!!
eti ameshinda tenda hata tv yenyewe ipo kwenye makaratasi???
natamani kuona mtanzania huyu mfanyabiashara mzuri anafanikiwa kwenye hili suala hapa tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom