Azam Tv kama Ulaya tu.!!!

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,300
Reaction score
38,450
chanzo Mwanaspoti:

Hongereni Azam kwa kuonyesha utofauti kwenye soka la Tanzania.
 
Pumba tupu.
Watu wanataka kuona mpira 'live' na sio hadithi za kamera. Hizi hadithi za kamera zinamfaa Muhidini Issa Michuzi na Ludovic lakini sio sisi hapa JF.
 
chanzo Mwanaspoti:

Hongereni Azam kwa kuonyesha utofauti kwenye soka la Tanzania.

Jamaa kachukua posho ili awaandikie hizo habari. Haraka ya nini walianza kuonyesha si tutaona? Mwenye haambiwi tazama, ataona mwenyewe!
 
Watazamaji sisi tunataka end product...

Mathalani Tanzania tuna maliasili chungu tele lakini angalia maendeleo sasa...

Hivyo hata hao Azam Media waache kujitapa sisi tunawasubiri hapo watapoanza kwenda hewani tuone ubora wao...
 
sawa vfaa bora, tungojee na mtiririko mzuri wa picha, sio kichwa kikubwa akili ndgo kma kazi nduga..
 
Mkuu tupe hiyo channel ya hiyo TV tuitafute. Hatutaki hadithi, tunataka vitendo Bwana.

Tiba
 
Hongereni Azam!!nategemea kuwa mbali na kuonyesha mechi pia mtakuwa wawakilishi wazuri kwa magamba,eeh! Si ndiyo wanawaweka mjini?cc-Sibuka
 
Mkuu tupe hiyo channel ya hiyo TV tuitafute. Hatutaki hadithi, tunataka vitendo Bwana.

Tiba

Bado mpaka wazindue ving'amuzi vyao vya "Azam".!
 
Hongereni Azam!!nategemea kuwa mbali na kuonyesha mechi pia mtakuwa wawakilishi wazuri kwa magamba,eeh! Si ndiyo wanawaweka mjini?cc-Sibuka

Hongera umeshaiona au ndio Sifa za kijinga?
 
Ni mwanzo MZURI wa mapinduzi ya media, nadhani wengine nao 'watajaribu'.
 
"kaiona" kwenye gazeti la mwanasport la leo

Hapo ndipo huwa Nashangaa.... Ile Story ya mke na mume kupanga wakipata pesa wanunue kuku wafuge na mke kazi yake iwe ni kusafisha Banda la hao kuku watakaowanunua mwisho wa mipango mke akakataa kujakuwa msafisha banda akitaka mume ndie awe atakayekuwa anasafisha banda ...hawakuelewana ukawa ugomvi mkubwa walipopatanishwa wanaulizwa banda na kuku wapo wapi wakasema hawajapata hizo Pesa....

Mtu anasifia kitu ambacho akipo....

Akawaulize wana Mtwara mji wao kuwa wa Viwanda mwishowe wameambulia Mabomu!
 
Ni mwanzo MZURI wa mapinduzi ya media, nadhani wengine nao 'watajaribu'.

Kiukweli wanahitaji kutiwa moyo, acha wafanye. wakishindwa tutajua walijaribu wakashindwa.

Sio wale viongozi wetu wanatuonyesha picha wakitia saini makaratasi ya ujenzi wa uwannja kumbe blah blah tu.
 

ah ah haa, huo ndio ukweli, tusubiri atakapoanza kuonysha ligi na katika ubora unaoridhisha, pongezi zake tutampa tu, sasa hv mapema mno.
 
chanzo Mwanaspoti:

Hongereni Azam kwa kuonyesha utofauti kwenye soka la Tanzania.

asante sana mkuu kwa kuliona hili watu hawajiuliziulizi kwenye hela bana... Grande SSB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…