Sungurawembe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 414
- 55
Wakuu habari zenu
Jana nimekuta mtu mmoja anatafuta king'amuzi cha Azam TV wakati ana kingine startimes sikupata jibu leo nimepata, pamoja na CCM kutangaza kumtambulisha mgombea mteule wao leo, Ni azam two pekee imerusha matangazo ya papo (LIVE) kutoka Mbagala Zhakeem. Media nyingine wapo na mambo yao tu kama hawajui wateja wao wanakimbia kwani katika local channel Azamtv haimo huwezi kuwapata bila king'amuzi chao. Ni muda wa kumpa hongera Tido Muhando kwa ubunifu wake hakika ataipaisha sana media hiyo.
Jana nimekuta mtu mmoja anatafuta king'amuzi cha Azam TV wakati ana kingine startimes sikupata jibu leo nimepata, pamoja na CCM kutangaza kumtambulisha mgombea mteule wao leo, Ni azam two pekee imerusha matangazo ya papo (LIVE) kutoka Mbagala Zhakeem. Media nyingine wapo na mambo yao tu kama hawajui wateja wao wanakimbia kwani katika local channel Azamtv haimo huwezi kuwapata bila king'amuzi chao. Ni muda wa kumpa hongera Tido Muhando kwa ubunifu wake hakika ataipaisha sana media hiyo.