Azam Tv umefka wakati sasa wa Kujitathimini....baada ya kufungwa kwa Local channels kama WASAFI TV, CLOUDS TV, EATV na nyinginezo ambazo muda mwingi zilitupa burudani ya Muziki.....sisi wapenzi wa buruduni tunaona muda umefka sasa wa kuanzisha channel zifuatavyoo...
1. Anzisheni AZAM MUSIC hapa namaansha channel ambayo itapiga muziki za aina zote Non-Stop, kama ilivyo nilizozitaja ukoo juu...hii channel itasaidiaa pia kukuza music wa Tanzania.. kipindi chenu cha PlayList hakitoshelezi mahitaji ya music
2. Anzishen AZAM NEWS hapa tutapata habari muda mwingi za kiswahili na kingereza, kitaifa na kimataifa na kupata faraja baada ya habari yenu ya saa 2 usiku kupotelea kusikojulikana......
3. Boresheni channel yenu ya Sinema zetu ianze kuonesha filam ambazo ni latest lkn pia filam za nje na tamthilia mbali mbali za ndani na nje na ratiba iwe inatolewa filam gani itaoneshwa lini na saa ngapi kama ilivyo HBO...
4. Sijawahi kuielewaa AZAM ONE sijui ilianzishwa kwa malengo yapii mwaweza iboresha ikawa ya Kimakala, hapa tukaona documentary mbalimbali za tanzaniA na nje ya mipaka yetu.....
5. Anzisheni Channel ambayo itaelimisha watu kuhusu maisha, kilimo, uvuvi, ufugaji, elimu, sayansi, jamii, hapa viandaliwe vipindi mbalimbali hapa vipindi kama masapta sapta, makala za kilimo za jamali hashim, medicounter, vitakaa hapa....
Hapa iwe yaan mtu akifungua king'amuzi cha Azam anakutana na channel zenu zaidi ya Saba ndo aende kenyaa uganda,rwanda na akakutane na channel zenu za Kihindi ambzo wengi wetu tungeweza kuzifuta tushazifuta zaman....
Mwisho punguzenii bei za vifurushii...cha juu zaidii kiwe 20000/=
Naomba ujumbe huu uwafikie Azam Tv
Nawasilishaa
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Anzisheni AZAM MUSIC hapa namaansha channel ambayo itapiga muziki za aina zote Non-Stop, kama ilivyo nilizozitaja ukoo juu...hii channel itasaidiaa pia kukuza music wa Tanzania.. kipindi chenu cha PlayList hakitoshelezi mahitaji ya music
2. Anzishen AZAM NEWS hapa tutapata habari muda mwingi za kiswahili na kingereza, kitaifa na kimataifa na kupata faraja baada ya habari yenu ya saa 2 usiku kupotelea kusikojulikana......
3. Boresheni channel yenu ya Sinema zetu ianze kuonesha filam ambazo ni latest lkn pia filam za nje na tamthilia mbali mbali za ndani na nje na ratiba iwe inatolewa filam gani itaoneshwa lini na saa ngapi kama ilivyo HBO...
4. Sijawahi kuielewaa AZAM ONE sijui ilianzishwa kwa malengo yapii mwaweza iboresha ikawa ya Kimakala, hapa tukaona documentary mbalimbali za tanzaniA na nje ya mipaka yetu.....
5. Anzisheni Channel ambayo itaelimisha watu kuhusu maisha, kilimo, uvuvi, ufugaji, elimu, sayansi, jamii, hapa viandaliwe vipindi mbalimbali hapa vipindi kama masapta sapta, makala za kilimo za jamali hashim, medicounter, vitakaa hapa....
Hapa iwe yaan mtu akifungua king'amuzi cha Azam anakutana na channel zenu zaidi ya Saba ndo aende kenyaa uganda,rwanda na akakutane na channel zenu za Kihindi ambzo wengi wetu tungeweza kuzifuta tushazifuta zaman....
Mwisho punguzenii bei za vifurushii...cha juu zaidii kiwe 20000/=
Naomba ujumbe huu uwafikie Azam Tv
Nawasilishaa
Sent using Jamii Forums mobile app