boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,034
Huenda wamepigwa ban wasikirushe maana unajua tatizo mambo ya recorded watu wakipitia upya na kusoma alama za nyakati wanaona 85% ya kipindi mtu kajivua nguo na kuwaanika wenzake waliopo nyuma yake mmh hapo lazima kipigwe stop na kujaribu ku edit upya au kisirushwe kabisa. Sasa huenda Tido yupo ktk mgogoro na bosi wake bosi anasema usikirushe tido anataka reason why au tido mwenyewe akakosa cha kuja kutudanganya au na yeye kasusa