Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,139
- 2,998
Mh!Mkuu hiko king'amuzi chako umeunganisha na HDMI wire ama??Shida sana
Mh!Mkuu hiko king'amuzi chako umeunganisha na HDMI wire ama??
Mbona mie natizama vizuri?
Azam Tutaiimbia Nyimbo Za Parapanda.Ni vituko mimi Naona DSTV na wao wapewe haki hiyo ili ushindani uwepo
Sasa DSTV wakipewa tutamudu vile vifurushi vyao ?Ni vituko mimi Naona DSTV na wao wapewe haki hiyo ili ushindani uwepo
Kitakuepo kwa ajilia ya TZ
HD ya mabox? Ukitaka kuangalia HD angalia wanapojiunga na mechi za AFCON jinsi inavyokuwa clearmbona wanasema zile channel ni HD
inawezekana hujui masuala ya utangazaji wa mpira kwa tv,standard ya kutangaza mpira kwa televisheni ni kamera 7 kila mechi na azam wanatumia kamera 7 kila mechi sasa sijakuelewa tatizo lako ni lipiNaangalia hapa mchezo wa Dodoma jiji FC vs Mashujaa huu muonekano wa picha zao ni tatizo sana.
Hata game nyingi za mikoani wameshindwa kabisa kuwa na coverage nzuri.
Wao kama wadhamini sio lazima warushe kila mechi, ama wajadiliane na vilabu vitafwe viwanja kadhaa vya kutumika katika ligi nao wawe na camera za kutosha.
Kwa sasa wanafanya bora liende. Inaudhi sana.
Wala sio saba zile ni tatu changamoto ni viwanja sambamba na taa hafifu halafu game za mikoani kama sio simba au yang wanatumia sd formàt nadhaninawezekana hujui masuala ya utangazaji wa mpira kwa tv,standard ya kutangaza mpira kwa televisheni ni kamera 7 kila mechi na azam wanatumia kamera 7 kila mechi sasa sijakuelewa tatizo lako ni lipi
HD ? Hawana lolotembona wanasema zile channel ni HD