1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Derby gan kila mnapocheza iwe uwanja wa Tandika mabatini, iwe uwanja wa Bandari, iwe uwanja wa kinesi, iwe uwanja wa mkwakwani, iwe uwanja wa mkapa, iwe uwanja wenu wenyewe wa chamazi, iwe uwanja wa sokoine mbeya, iwe uwanja wa mpira nachingwea, uwanja wa mpira Namfua na hata pale Bunju nyie watu wa kufungwa tu.
Hakuna Derby hiyo, Derby ni mchezo ambao matokeo yake huwezi kubashiri, sasa nyie kila mnapocheza na Yanga mmekuwa malofa kishenzi, hamjielewi hata kidogo, mnafungwa kila cku hadi imefikia hatua sasa mmekosa ladha.
Mlimfukuza Beki wa zamani wa Sigara Idd Nassoro Cheche mkidai anahujumu timu.
Mlimfukuza Kalimangonga Ongala mkidai aliwauza kwenye fainal kule mkwakwani na hao hao Utopolo.
Ila mkicheza na Simba mnajifanya wababe, mna miguvu kama shetani, mnajituma sanaaaaaa ili muonekane na watu wa jangwani watu wa maaana.
Hakuna Derby hiyo, Derby ni mchezo ambao matokeo yake huwezi kubashiri, sasa nyie kila mnapocheza na Yanga mmekuwa malofa kishenzi, hamjielewi hata kidogo, mnafungwa kila cku hadi imefikia hatua sasa mmekosa ladha.
Mlimfukuza Beki wa zamani wa Sigara Idd Nassoro Cheche mkidai anahujumu timu.
Mlimfukuza Kalimangonga Ongala mkidai aliwauza kwenye fainal kule mkwakwani na hao hao Utopolo.
Ila mkicheza na Simba mnajifanya wababe, mna miguvu kama shetani, mnajituma sanaaaaaa ili muonekane na watu wa jangwani watu wa maaana.