Na hata inasikitisha vituo vya TV kama ITV, Channel ten, StarTv ni vikongwe sana lakini utangazi ni style ile ileisiyobadilika!
Binafsi, nilitegemea vituo kama ITV viwe na channel kama ITV News, ITV Sports nk
Cheki Azam wamekuja juzi tu lakini wanawa overtake wakongwe!