Azam marine wameshakuwa wasumbufu

Shida na raha

JF-Expert Member
Aug 8, 2014
3,773
3,471
Habari za mda huu wakuu na wadogo,
Husika na kichwa cha habari,

Naenda kwenye mada jana mida ya saa 2 usiku kuna wasafiri walienda kukata tiketi hatimae wakaambiwa za saa 1 zimeisha yani leo. Wakalala pale pale bandarini hadi asubuhi ya leo, asubuhi wamekuja wengine wamepata ya 1 na kuendelea,

Hapo wakasema za saa 2 zimeisha ikabidi wapewe za saa 10 jioni, hatujakaa sana wamekuja wengine wamepewa tena za saa 2 wamekosa ambao wamelala usiku mzima pale bandarini.

Sijui tatizo hili linasababishwa na nini au ni kwa sababu bahari wameitawala wao? Sijapata jibu mpaka sasa nalileta kwenu kwa mchango wa mawazo.
 
Habari za mda huu wakuu na wadogo.
Husika na kichwa cha habari naenda kwenye mada jana mida ya saa 2 usiku kuna wasafiri walienda kukata tiketi hatimae wakaambiwa za saa 1 zimeisha yani leo.
Wakalala pale pale bandarini hadi asubuhi ya leo, asubuhi wamekuja wengine wamepata ya 1 na kuendelea, hapo wakasema za saa 2 zimeisha ikabidi wapewe za saa 10 jioni, hatujakaa sana wamekuja wengine wamepewa tena za saa 2 wamekosa ambao wamelala usiku mzima pale bandarini. Sijui tatizo hili linasababishwa na nini au ni kwasababu bahari wameitawala wao? Sijapata jibu mpaka sasa nalileta kwenu kwa mchango wa mawazo.
Waulize hao waliopewa kama wameuziwa bei ya kawaida!!! Hiyo ndio Tanzania hadi kwenye private sector kuna uozo. Hali hii itaisha mpaka tutakapoamua kuwaadabisha watu hawa ili waweze kuheshimu wateja. Moja wapo ni hii ya kusema. Kama mwenye nchi anaumia kwa kusemwa sembuse AZAM
 
jana nilikuwepo pale wanasema
zimejaa ila ukichaa namba ya simu unapewa maelekezo , pesa yako tu
 
Tatizo lipo kwa hao wauzaji, wanachikifanya ni kuuza idadi ndogo tu nakisha kujidai tiketi zimeiisha. Badalayake wanawapa watu wao wapige deal baada ya 25000 kwa economy utauziwa kwa 35000 hadi 40000. Na kwa VIP baada ya 40,000 utauziwa 50,000 hadi 60,000 hii hali nimeishuhudia juzi. Nimefika bandarini saa 9 kamili kwa ajili y juindika na boti ya saa10 tukaambiwa tiketi zimeisha kutoka nje tu tiketi zimejaa kwa wapiga deal.
 
Habari za mda huu wakuu na wadogo.
Husika na kichwa cha habari naenda kwenye mada jana mida ya saa 2 usiku kuna wasafiri walienda kukata tiketi hatimae wakaambiwa za saa 1 zimeisha yani leo.
Wakalala pale pale bandarini hadi asubuhi ya leo, asubuhi wamekuja wengine wamepata ya 1 na kuendelea, hapo wakasema za saa 2 zimeisha ikabidi wapewe za saa 10 jioni, hatujakaa sana wamekuja wengine wamepewa tena za saa 2 wamekosa ambao wamelala usiku mzima pale bandarini. Sijui tatizo hili linasababishwa na nini au ni kwasababu bahari wameitawala wao? Sijapata jibu mpaka sasa nalileta kwenu kwa mchango wa mawazo.
Waliopewa walikua wamefanya booking na wengine walikua washalipia ticket so walienda kuchukua ticket zao......azam sio abood au air tanzania kwamba uswahili ndio kipaumbele
 
Tatizo lipo kwa hao wauzaji, wanachikifanya ni kuuza idadi ndogo tu nakisha kujidai tiketi zimeiisha. Badalayake wanawapa watu wao wapige deal baada ya 25000 kwa economy utauziwa kwa 35000 hadi 40000. Na kwa VIP baada ya 40,000 utauziwa 50,000 hadi 60,000 hii hali nimeishuhudia juzi. Nimefika bandarini saa 9 kamili kwa ajili y juindika na boti ya saa10 tukaambiwa tiketi zimeisha kutoka nje tu tiketi zimejaa kwa wapiga deal.
Hiii kitu walitaaka kunifanyia .

Akaachukua ID kaprocesss kila kitu kanipa ticket, nikampa nauli yaa siku zote.

Akaajaa upepo nikambwaambia huu ndio utaratibu other wisee kaanishtaaki au fanya lolote miheemko yako inaayo kutumaa, haalfu utajuta
 
Waliopewa walikua wamefanya booking na wengine walikua washalipia ticket so walienda kuchukua ticket zao......azam sio abood au air tanzania kwamba uswahili ndio kipaumbele
usiwatetee utaratibu wao ni mbovu sana wapiga debe pale azam wanaharibu utaratibu wote pale mfano unafika saa tatu pale oficn kwao unataka ticket ya economy class ya saa sita utaambiwa hakuna zimebaki VIP tu ukitoka nje unafuatwa na madalali huku wakinajinasibu kuwa wanazo hizo ticket za economy wanakuuzia tiket za economy za tsh. 25,000 kwa tsh. 35,000.....maajabu ni kwamba mpiga debe akikuuzia hiyo ticket anakusindikiza hadi kwenye lango la ukaguzi wa vitambulisho na ticket kuna ishara uwa wanapeana na wale wakaguzi wa ticket na vitambulisho na unapita bila kuulizwa chochote ingawa jina lililoandikwa kwenye ticket ni tofauti na jina lililopo kwenye kitambulisho chako..

MAONI YANGU kwa azam marine hudumu mnayoitoa ya usafiri wa baharini ni very quality na ya kisasa kabisa msikubali kuharibiwa biashara na watu wachache wekeni dawati la malalamiko kwenye ofisi zenu zote pia hakikisheni hakuna mtu/abiria atakayeingia kwenye azam marine kwa kutumia ticket ya mtu mwingine hii ni hatari hapa mnatakiwa mboreshe section za ukaguzi wa vitambulisho na ticket zile ili kuzuia ukanjanja huo..
 
Waliopewa walikua wamefanya booking na wengine walikua washalipia ticket so walienda kuchukua ticket zao......azam sio abood au air tanzania kwamba uswahili ndio kipaumbele
Sikweli acha kutetea uozo, mi mwenyewe nipo kwenye boat naelekea Zanzibar nimekuja asubuhi nimepata ya mbili wakati huo kuna watu walilala pale jana walipewa ya 8 - 10 kwa bei hiyo hiyo, inaonekana wewe ni mpiga debe.
 
Habari za mda huu wakuu na wadogo,

Husika na kichwa cha habari,

Naenda kwenye mada jana mida ya saa 2 usiku kuna wasafiri walienda kukata tiketi hatimae wakaambiwa za saa 1 zimeisha yani leo. Wakalala pale pale bandarini hadi asubuhi ya leo, asubuhi wamekuja wengine wamepata ya 1 na kuendelea, hapo wakasema za saa 2 zimeisha ikabidi wapewe za saa 10 jioni, hatujakaa sana wamekuja wengine wamepewa tena za saa 2 wamekosa ambao wamelala usiku mzima pale bandarini. Sijui tatizo hili linasababishwa na nini au ni kwasababu bahari wameitawala wao? Sijapata jibu mpaka sasa nalileta kwenu kwa mchango wa mawazo.
Huyu ni msumbufu toka alipozaliwa, tukitaka kuondoa usumbufu huu tujenge barabara chini ya bahari tumuachie boti zake afugie ng'ombe wa maziwa
 
usiwatetee utaratibu wao ni mbovu sana wapiga debe pale azam wanaharibu utaratibu wote pale mfano unafika saa tatu pale oficn kwao unataka ticket ya economy class ya saa sita utaambiwa hakuna zimebaki VIP tu ukitoka nje unafuatwa na madalali huku wakinajinasibu kuwa wanazo hizo ticket za economy wanakuuzia tiket za economy za tsh. 25,000 kwa tsh. 35,000.....maajabu ni kwamba mpiga debe akikuuzia hiyo ticket anakusindikiza hadi kwenye lango la ukaguzi wa vitambulisho na ticket kuna ishara uwa wanapeana na wale wakaguzi wa ticket na vitambulisho na unapita bila kuulizwa chochote ingawa jina lililoandikwa kwenye ticket ni tofauti na jina lililopo kwenye kitambulisho chako..

MAONI YANGU kwa azam marine hudumu mnayoitoa ya usafiri wa baharini ni very quality na ya kisasa kabisa msikubali kuharibiwa biashara na watu wachache wekeni dawati la malalamiko kwenye ofisi zenu zote pia hakikisheni hakuna mtu/abiria atakayeingia kwenye azam marine kwa kutumia ticket ya mtu mwingine hii ni hatari hapa mnatakiwa mboreshe section za ukaguzi wa vitambulisho na ticket zile ili kuzuia ukanjanja huo..
Mkuu mimi huwa namkatia ndugu yangu huwa anafanya kazi zenji weekend huwa anakuja

Na huwa anaondoka saa moja asubuhi

Sasa ticket nakata siku moja kabla tena mapema na huwa sikosi ,watu wengi wanafanya booking mapema sasa wewe chelewa au nenda siku hiyo hiyo utakosa au utapata VIP

Uzoefu wangu ndio huo
 
asa
Mkuu mimi huwa namkatia ndugu yangu huwa anafanya kazi zenji weekend huwa anakuja

Na huwa anaondoka saa moja asubuhi

Sasa ticket nakata siku moja kabla tena mapema na huwa sikosi ,watu wengi wanafanya booking mapema sasa wewe chelewa au nenda siku hiyo hiyo utakosa au utapata VIP

Uzoefu wangu ndio huo
asante ndugu kwa kutufahamisha tuwahi kukata ticket mapema ingawa azam marine wanajukumu la kuhakikisha utapeli huo ambao unaendelea unakomeshwa mara moja sisi ni wateja wao hivyo wanapaswa watuheshimu.
 
Habari za mda huu wakuu na wadogo,
Husika na kichwa cha habari,

Naenda kwenye mada jana mida ya saa 2 usiku kuna wasafiri walienda kukata tiketi hatimae wakaambiwa za saa 1 zimeisha yani leo. Wakalala pale pale bandarini hadi asubuhi ya leo, asubuhi wamekuja wengine wamepata ya 1 na kuendelea,

Hapo wakasema za saa 2 zimeisha ikabidi wapewe za saa 10 jioni, hatujakaa sana wamekuja wengine wamepewa tena za saa 2 wamekosa ambao wamelala usiku mzima pale bandarini.

Sijui tatizo hili linasababishwa na nini au ni kwa sababu bahari wameitawala wao? Sijapata jibu mpaka sasa nalileta kwenu kwa mchango wa mawazo.
Kulala bandarini siyo njia rahisi ya kupata ticket
Unajuaje kama hao waliyofika asubuhi tayari walikuwa wamebook mapema
Mfano mimi mwaka jana nilifanya booking ya kwenda IRINGA mapema wiki kabla ilipofikia tarehe 24-12-2017 nikafika ubungo na kukuta watu wamelala pale ubungo na bado hawana uhakika wa kusafiri nikapanda na kuondoka
 
Kulala bandarini siyo njia rahisi ya kupata ticket
Unajuaje kama hao waliyofika asubuhi tayari walikuwa wamebook mapema
Mfano mimi mwaka jana nilifanya booking ya kwenda IRINGA mapema wiki kabla ilipofikia tarehe 24-12-2017 nikafika ubungo na kukuta watu wamelala pale ubungo na bado hawana uhakika wa kusafiri nikapanda na kuondoka
Na wewe umekuja kutetea ujinga mm mwenyewe nimekwenda asubuhi nimepata ya saa 2, wakati wenzangu waliambiwa zimeisha na bei hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom