Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
Uongozi wa Azam FC umetangaza rasmi kuachana na kocha wake Joseph Omog baada ya kuwa nae kwa kipindi cha miezi 14.
Mwalimu huyo wa zamani wa Leopards ya Kongo anaondoka ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa kwenye Kombe la Klabu Bingwa Afrika kufuatia kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa El-Mereikh mjini Omdurman.
Ajira ya kocha huyo raia wa Kamerun inasitishwa sambamba na msaidizi wake Ibarahim Shikanda!
Chanzo: Azam FC
Mwalimu huyo wa zamani wa Leopards ya Kongo anaondoka ikiwa ni siku mbili baada ya kutolewa kwenye Kombe la Klabu Bingwa Afrika kufuatia kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa El-Mereikh mjini Omdurman.
Ajira ya kocha huyo raia wa Kamerun inasitishwa sambamba na msaidizi wake Ibarahim Shikanda!
Chanzo: Azam FC