Azam decorder needed in exchange with Startimes decoder

hilda266

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
20
Reaction score
1
nina king'amuz cha startimes nakup king'amuz na elfu 40 naomba kingmz cha azam
 
nina king'amuz cha startimes nakup king'amuz na elfu 40 naomba kingmz cha azam

Hilda nakupngeza sana kwa mapenzi yako kwa AZAM TV.Aisee kweli kiboko.
King`amuzi bureee na pesa juuu,ili upate burudani kwa wote.
Sema changu kimoja cha ziada nimekiuza majuzi tu,yaani ningekupa bureeeeeeee
 
Hilda nakupngeza sana kwa mapenzi yako kwa AZAM TV.Aisee kweli kiboko.
King`amuzi bureee na pesa juuu,ili upate burudani kwa wote.
Sema changu kimoja cha ziada nimekiuza majuzi tu,yaani ningekupa bureeeeeeee

dah yn hata mm nahtj sana nampa startimes na elfu 30 juu
 
azam zinatafutwa kila kona aisee na bhakressa kaona isiwe kes acha apandishe bei tuisome namba
 
Aisee kapandisha bei sana, sisi huku Kagera kinauzwa laki 2
 
ata mi niliisoma no. nilipuuzia 130 july nkaja kununua 170 sept
 
Hilda nakupngeza sana kwa mapenzi yako kwa AZAM TV.Aisee kweli kiboko.
King`amuzi bureee na pesa juuu,ili upate burudani kwa wote.
Sema changu kimoja cha ziada nimekiuza majuzi tu,yaani ningekupa bureeeeeeee

Haya sio mapenz ni mahaba
 
nina king'amuz cha startimes nakup king'amuz na elfu 40 naomba kingmz cha azam

Azam sasa Hivi 160000 plus kifurushi cha mwezi, je hicho cha startime bei gani?
 
jamani mwenye azam decorder tubadilishane na startimes na mpa na hela juu pls nahtaji sanaa wajamen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…