Azam decoder wamezima channel za bure (FTA)

ukitaka bure Nunua dishi ft 6 au 8

na decoder ya fta


acha watu wafanye biashara



 
Juzi na jana king'amuzi cha Azam local channel zilikuwa TBC,ZBC na WasafiTV pekee, leo naangalia WasafiTV nayo pia imeondolewa.
 
Hizi local Chanel hawa Zuku, Dstv, Azam na wengineo wanapewa bure au wanazinunua? Na kama wanazinunua kwa nini walazimishwe kuzitoa bure? Mfumo wa kununua tulishauzoea, TCRA wazindue king"amuzi chao cha bure walete ushindani kama wanaona mambo ni rahisi. TTCL imezidiwa na Halotel kampuni ya juzi tuu, OK ngoja tuone hili game!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…