Azam decoder wamezima channel za bure (FTA)

Naona TCRA wameamua kuhanfaika na wapenda vya bure.
Kuangalia TV, is not a basic human needs. Asiye na uwezo wa kulipia akaangalie TV kwa jirani.
Mambo ya dezo ndio yaliua mashirika ya umma, tukiyaendekeza yataua na mashirika binafsi.
Mpuuzi mkubwa wewe.
 
Tcra so ndio hawa viazi wanamwandikia barua roma then wanaikanusha?
Hakuna kitu pale.Naomba dstv nao wazime hadi tbc. Ili tusiwe tunaona live zao za magogoni. Tutaangalia jim jam sophia the first na tv za Kenya
Yani kwakweli kuna wakati hata mimi nawish hvyo wazime tu hizo channels zote hadi hyo tbc nyambafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…