GE2025 Aysharose Mattembe achukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge viti maalum Singida

GE2025 Aysharose Mattembe achukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge viti maalum Singida

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida anayemaliza muda wake, Aysharose Mattembe (kulia) amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo. Mattembe amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 30, 2025 na Katibu wa UWT Mkoa wa Singida, Judith Mwamboza.
1751287719733.jpeg
 
Back
Top Bottom