Aweso: Mahitaji ya maji Dar ni lita milioni 572

Aweso: Mahitaji ya maji Dar ni lita milioni 572

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema mahitaji ya maji katika Mkoa wa Dar es Salaam ni lita milioni 572, hali inayochangiwa na ongezeko la watu.

Waziri Aweso amesema hayo leo, Januari 28, 2026, jijini Dodoma wakati wa Mkutano wa Waandishi wa Habari, akisisitiza kuwa si haki kwa wananchi kulipishwa bili zisizolingana na huduma wanayoipata.

 
Mkipewa fungu hamulielekezi sehemu stahiki badala yake mnakula. Baadae mnashindwa kufix mambo mnaanza kuumiza wananchi! Mnakera sana basi tu !
 
Back
Top Bottom