Awamu ya 5 , kama ni lazima propaganda zenu zitolewe na RC basi tafuteni RC mwingine , huyu kaisha.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,855
244,404
Ni ushauri tu , mnayo haki ya kuuchukua au kuupuuza .

Mtu aliyeshindwa kuthibitisha hata kilo moja tu ya unga kwa wote aliowatuhumu , na mwenye kashfa ya vyeti hawezi kusaidia kufunika lolote .

Makonda kwa sasa hana ushawishi wowote ule , hata akija na plan nzuri kiasi gani , hakuna atakayemuamini , kitendo cha TBC kuleta maadhimisho ya RC Mmoja as if siku alipoapa alikuwa peke yake ni propaganda ya kiwango cha chini sana !

Mchukueni RC mwingine aendeshe hizo propaganda , mbona wamo ma RC wengi tu na wanajeshi wakiwemo , kwanini Makonda tu ?
 
huyu rc wa mwendokasi bora ange acjia ngazi tu kuachilia haya mambo yapite,huwezi kujinasibu kuwa wewe nijasiri lakini unapigwa na kawimbi kidogo unapepesuka mpaka chini,sasa hivi amekuwa muoga sana anaongea huku akionekana mtu wamashaka mengi sana
 
Maajabu haya, kama ndio mimi ningeomba uraia wa Congo nikaishi huko maana kila ukikatiza kuna bango lake

huyu rc wa mwendokasi bora ange acjia ngazi tu kuachilia haya mambo yapite,huwezi kujinasibu kuwa wewe nijasiri lakini unapigwa na kawimbi kidogo unapepesuka mpaka chini,sasa hivi amekuwa muoga sana anaongea huku akionekana mtu wamashaka mengi sana
 
Acheni kumpa Airtime huyu Bashite.....mpaka aonyeshe vyeti
Nahisi Rais ameamua kutuonesha kwamba Daudi Albert Bashite no bora kuliko wakuu wa mikoa wote. Anna kilango kosa lilikuwa dogo sana la kusema jambo bila kujiridhisha lakini hapohapo alitumbuliwa.huyu anachafua image ya rais na taasisi nzima ya uraisi lakini bado hajachukuliwa hatua. Ona huko Instagram anavyoimbwa hata na watoto .
Kwanini asijitathimini akachukua hatua mwenyewe kutoka?.
Asijiwekee katika mwamvuli wa madawa ya kulevya kamba hao watu labda watamuua kama siku zako za kuishi zimeisha maisha yatakoma . mwanaume haogopi kifo Abadan kama anamwamini Mungu.
 
BASHITE BANA.

NA MKUU MZEE WA KUKURUPUKA MBONA KATULIA SANA????? SWALA HILI MKUU ALITAKIWA AWE KASHAROPOKA SAA IZI.
 
Ni ushauri tu , mnayo haki ya kuuchukua au kuupuuza .

Mtu aliyeshindwa kuthibitisha hata kilo moja tu ya unga kwa wote aliowatuhumu , na mwenye kashfa ya vyeti hawezi kusaidia kufunika lolote .

Makonda kwa sasa hana ushawishi wowote ule , hata akija na plan nzuri kiasi gani , hakuna atakayemuamini , kitendo cha TBC kuleta maadhimisho ya RC Mmoja as if siku alipoapa alikuwa peke yake ni propaganda ya kiwango cha chini sana !

Mchukueni RC mwingine aendeshe hizo propaganda , mbona wamo ma RC wengi tu na wanajeshi wakiwemo , kwanini Makonda tu ?

hapo kwenye RED maana yake tanzania hakuna madawa, si ndio??
 
Mwacheni mwenzenu

Nyue hamjui mjini pagumu

Akiachia ngazi atakula wapi???

Mwacheni bana
Nahisi Rais ameamua kutuonesha kwamba Daudi Albert Bashite no bora kuliko wakuu wa mikoa wote. Anna kilango kosa lilikuwa dogo sana la kusema jambo bila kujiridhisha lakini hapohapo alitumbuliwa.huyu anachafua image ya rais na taasisi nzima ya uraisi lakini bado hajachukuliwa hatua. Ona huko Instagram anavyoimbwa hata na watoto .
Kwanini asijitathimini akachukua hatua mwenyewe kutoka?.
Asijiwekee katika mwamvuli wa madawa ya kulevya kamba hao watu labda watamuua kama siku zako za kuishi zimeisha maisha yatakoma . mwanaume haogopi kifo Abadan kama anamwamini Mungu.

huyu rc wa mwendokasi bora ange acjia ngazi tu kuachilia haya mambo yapite,huwezi kujinasibu kuwa wewe nijasiri lakini unapigwa na kawimbi kidogo unapepesuka mpaka chini,sasa hivi amekuwa muoga sana anaongea huku akionekana mtu wamashaka mengi sana
 
Daudi Albert BashiteOnyeshaVyeti
Leo Alikuwa Hana Confidence Pia Ndiyo Ujinga Wa Kiwango Cha Juu Kufanywa Na Ccm. Mtu Mbabaishaji Aliyefoji Naye Anapewa Nafasi Ya Kuiambia Nini Jamii

Dawa Za Kulevya Ni Kashfa Kama Vyeti Vya Kufoji Halafu Anajitia Aibu Anasema Wanasheria Nitahakikisha Nawaombea Kazi Zitakapotangazwa Yaani Anaturudisha Enzi Za Kujipendekeza Kwa Wakubwa Ndiyo Upate Kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom