Awamu hii ya 6 maisha ni magumu sana

Cement 5000??

Labda MBUPU zako.
Amerogwa huyu enzi za jiwe cement ilikuwa 15000 sijui anaongea ushudu gani huyu pimbi , halafu anashindwa kuelewa kwamba hizi ni domino effects pia za huyo mjinga wao aliyeharibu uchumi Kwa kiasi kikubwa , kiufupi Tanzania iko kwenye economic & financial stagnancy , Huu uchumi haukui Yale ya kujiita uchumi WA Kati ni kujilisha upepo Tu na kujimwambafai , Hali ya Umasikini unatisha nchi hii , watu wengi wanakula mlo mmoja Kwa siku muda mrefu Tu , na bado Yanayotokea Kule Srilanka , Lebanon ,Cuba, Zimbabwe , Venezuela NK kwenye mporomoko WA uchumi haikuwa suddenly ,ni mdogo mdogo
 
Sabuni ya kipande kutoka 500 Hadi 800

Na viongozi wanabariki upandaji wa bei, badala ya kutafuta solution

Haya ndo matokeo ya kuongozwa na mwanamke
 
Nimebahatika kuona awamu zote japo ile ya ya kwanza(mwal nyerere ) niliifahamu mwishoni.Pamoja na uzoefu wangu kwa kuzishuhudia awamu zote lakini hii awamu maisha yamekuwa magumu sana kwa watanzania kuliko nilizozishuhudia.
Mfano. Awamu ya tano ilijitahidi sana kupunguza ukali wa maisha kwa kutumia vizuri rasilimali zake.kipindi hicho cha awamu ya tano vifaa vya ujenzi vilikuwa na bei ya chini kuliko kwa sasa.cement iliuzwa 5000-8000 lakini kwa sasa 15000kwa Dar na mikoani hadi 22000.Nondo ziliuzwa 12000(mm12)lakini kwa sasa27000-30000.

Vilevile sisi wazee tulitibiwa bureee kwa mstarehe kabisa awamu ya tano,hata watoto chini ya miaka mitano na mama mjamzito alipata huduma bure.lakini kwa sasa hizo huduma zimefutwa.bila pesa hupati huduma.

Kwenye pembejeo za kilimo zilipatikana wa urahisi.mbolea kama urea can,npk zilipatikana kwa wakati na bei chee.mfano urea(kilo 100 urea iliuzwa 50000 )lakini kwa sasa ni 150000.

Mimi kama mzee mzalendo nauliza Hivi kwa nini imekuwa hivi awamu hii?tatizo ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_4664.MP4
    3.7 MB
Sabuni ya kipande kutoka 500 Hadi 800

Na viongozi wanabariki upandaji wa bei, badala ya kutafuta solution

Haya ndo matokeo ya kuongozwa na mwanamke
 

Attachments

  • CE561C93-B012-49AE-82FE-B7F89748E319.jpeg
    CE561C93-B012-49AE-82FE-B7F89748E319.jpeg
    61.3 KB · Views: 5
Ya tano! Ililenga zaidi kukwamua wananchi wa kipato cha chini. Na katika awamu zote hii ya sita ni mbaya zaidi.
Si nayo mlilalamika hivi hivi. Habari za vyuma kukaza zilitokea awamu ipi?
 
Amerogwa huyu enzi za jiwe cement ilikuwa 15000 sijui anaongea ushudu gani huyu pimbi , halafu anashindwa kuelewa kwamba hizi ni domino effects pia za huyo mjinga wao aliyeharibu uchumi Kwa kiasi kikubwa , kiufupi Tanzania iko kwenye economic & financial stagnancy , Huu uchumi haukui Yale ya kujiita uchumi WA Kati ni kujilisha upepo Tu na kujimwambafai , Hali ya Umasikini unatisha nchi hii , watu wengi wanakula mlo mmoja Kwa siku muda mrefu Tu , na bado Yanayotokea Kule Srilanka , Lebanon ,Cuba, Zimbabwe , Venezuela NK kwenye mporomoko WA uchumi haikuwa suddenly ,ni mdogo mdogo
Huwa wanaongea kwa chuki sio uhalisia..
 
Sri Lanka imekuwa declared buncrupt officially ,hili li nchi linaelekea huko pia
Wengine Hawa huku wanaandamana Bei ya mafuta iko juu na njaa ya chakula 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220619-211440.png
    Screenshot_20220619-211440.png
    109.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220619-211522.png
    Screenshot_20220619-211522.png
    143 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220619-211541.png
    Screenshot_20220619-211541.png
    55.7 KB · Views: 4
awamu ya tano vifaa vya ujenzi vilikuwa na bei ya chini kuliko kwa sasa.cement iliuzwa 5000-8000
Huu ni uwongo wa mchana kweupe. Awamu ya 5 simenti iliuzwa kwa sh 12000 -13500 kwa Dar. Mikoani ilienda mpk 20000.

Acheni kumpa sifa asizostahili yule maeendahovyo. Hata mseme vipi kishakufa, hatarudi na ataendelea kuteseka jehanamu.
 
Si nayo mlilalamika hivi hivi. Habari za vyuma kukaza zilitokea awamu ipi?
Vilikaza kwa namna ya matumaini kwa wananchi,kiasi kwamba chochote kilichofanyika kilikuwa kinatupa moyo kwa kuuona uelekeo wa maisha ya mwananchi mmoja mmoja na maendeleo ya nchi kwa ujumla.
Sasa hivi hata hakuna tumaini,haijulikani tunaelekea wapi na hii hali na mfumuko wa bei za bidhaa mbali mbali utaisha lini.
 
Hivi kwa nini bei za vitu zinapanda kirahisi. Ila kushuka inakuwa ngumu.

Samahani niko nje ya mada.
 
Back
Top Bottom