Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, habari kutoka kisutu ni kuwa kaburu nyange pamoja na Aveva watakaa rumande mpaka July 13 baada ya mashtaka matatu kati ya matano kukosa sifa za kuwa na dhamana likiwemo la kutakatisha fedha lakini pia rais wa shirikisho la mpira Tanzania na katibu mkuu wa tff nao wamesomewa mashtaka 28 nao pia wamenyimwa dhamana hivyo nao kuendelea kusota rumande.