Aveva, kaburu kukaa rumande mpaka July 13

makalango

JF-Expert Member
Feb 10, 2017
448
252
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, habari kutoka kisutu ni kuwa kaburu nyange pamoja na Aveva watakaa rumande mpaka July 13 baada ya mashtaka matatu kati ya matano kukosa sifa za kuwa na dhamana likiwemo la kutakatisha fedha lakini pia rais wa shirikisho la mpira Tanzania na katibu mkuu wa tff nao wamesomewa mashtaka 28 nao pia wamenyimwa dhamana hivyo nao kuendelea kusota rumande.
 
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku, habari kutoka kisutu ni kuwa kaburu nyange pamoja na Aveva watakaa rumande mpaka July 13 baada ya mashtaka matatu kati ya matano kukosa sifa za kuwa na dhamana likiwemo la kutakatisha fedha lakini pia rais wa shirikisho la mpira Tanzania na katibu mkuu wa tff nao wamesomewa mashtaka 28 nao pia wamenyimwa dhamana hivyo nao kuendelea kusota rumande.
_20170629_142742.JPG
 
Ratiba ya kupeleka chakula rumande

30/6/17
Simba Damu Fans
1/7/17
Simba Platnum Supporters
2/7/17
Mpira Pesa
3/7/17
Wekundu ws Terminal
4/7/17
Simba Makini
5/7/17
Simba dume Temboni
6/7/17
Mpira maendeleo
7/7/17
Manara vuvuzela

Vipi manji teja mlimpelekea?
 
mpatto kwani Joseverest anahusika vipi ni hii mada, na kama huna cha kuchangia uwe pita kwa kutulia na ni wakati muafaka wa uongozi wa JamiiForums kudhibiti watu kama nyie mnao ongoza kuharibu mada za watu.

Turudi kwenye mada husika; Binafsi ningependa kuona mahakama inatenda haki kwa hao wanaoshutumiwa kuhujuma timu yetu wapewe adhabu kulingana na ukubwa wa makosa yao.

SIMBA SC NGUVU MOJA.
 
Daaa maisha ya ajabu sana! Mijamaa ya mchangani ilimcheka na kumkebehi sana Manji! Sasa kibao kimegeuka na bado Makofia nae
 
mpatto kwani Joseverest anahusika vipi ni hii mada, na kama huna cha kuchangia uwe pita kwa kutulia na ni wakati muafaka wa uongozi wa JamiiForums kudhibiti watu kama nyie mnao ongoza kuharibu mada za watu.

Turudi kwenye mada husika; Binafsi ningependa kuona mahakama inatenda haki kwa hao wanaoshutumiwa kuhujuma timu yetu wapewe adhabu kulingana na ukubwa wa makosa yao.

SIMBA SC NGUVU MOJA.
Poleni sana wazee wa simba...
[HASHTAG]#mandelaa[/HASHTAG] kiwelu
 
Back
Top Bottom