AUWSA Arusha yasaini mkataba wa bilion 476 kusambaza maji katika jiji la Arusha

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
753
1,812
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira AUWSA imetiliana saini, mkataba wa sh, billion 476 na kampuni ya korea kusini kwa ajili ya kusambaza maji katika jiji la Arusha, wakazi wa jiji hilo watarajie mafuriko ya maji na mkurugenzi auwsa mhandisi Ruth Koya amesema kuwa shida ya maji Arusha itabaki historia
 
Tunayasubirie isije ikawa ni porojo zilezile za Gambo maana hachelewi
 
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira AUWSA imetiliana saini, mkataba wa sh, billion 476 na kampuni ya korea kusini kwa ajili ya kusambaza maji katika jiji la Arusha, wakazi wa jiji hilo watarajie mafuriko ya maji na mkurugenzi auwsa mhandisi Ruth Koya amesema kuwa shida ya maji Arusha itabaki historia
Mkuu ni lini yanaanza kutiririka?

Mimi nitakuwa nayanywa Kwa mwendokasi
 
safi sana tunataka mambo kama haya siyo fujo na matusi kila saa wakati miradi ya maendeleo ikisimama, safi sana tunataka arusha mpya
 
Tena Arusha kama wangeweza wangeweka hub ya ICT Mandela Univeristy ipo. Ningepata kuonana na Gambo ningemwambia support Mradi wa NHC then ita IT Guru weka vijana waanze kuchakata.
 
Mi hofu yangu ni jinsi ya kulipa hilo deni la mamia ya mabilioni ya shilingi . Nidhamu ya hali ya juu itahitajika ili kulilipa hilo deni achilia mbali majanga mengine.
 
Back
Top Bottom