Wanadai ni nguvu au mwanga wa kiroho unaomzunguka mtuAURA ni nini????
Sasa makaburini anauonaje?Wanadai ni nguvu au mwanga wa kiroho unaomzunguka mtuView attachment 3537415
Ukipishana na mtu ananuka pafyumu au mtu kajipigilia mapafyumu makali mtaa wa pili yananuka mpaka mtaa wa 4 huko au pishi la pilau lililokolea viungo au dume ambalo halijaoga wiki linaishia kunuka kibeberu sasa ile harufu ambayo ukipishana nae unaisikia ndio sawa na Aura spirit yaan roho yako ndio inanusa roho nyingine isiyoonekana kwamba hapa kuna roho nyingine nimepishana nayo au ipo karibu yangu sio mwili tenaAURA ni nini????
we pimbi nawe nae acha undezi! Tangu lini makaburi yakawa na aura? Upimbi unakusumbua! Unajua aura ni nii? Pimbi wewe!Ila kuna makaburi mengine hayana aura kabisa, unapita usiku hata vinyweleo havisimami kama yale ya kinondoni.
SijajuaSasa makaburini anauonaje?
Eti watu wanapigana miti makaburini...aisee nimecheka Sana😂Sasa wewe makaburi ya kinondoni, watu wanainamishana kutwa-kucha, mikito mpaka misalqba inang'oka unategemea nini..😂🤣
Ukifa umekufa hakuna cha kusikiaje hapoImagine baba yako,mama yako au wewe mwenyewe ushafariki alafu watu wanasema hauna aura,wanaoga madawa mahali ulipozikwa,unajisikiaje?
Uchawi TU na upagani TU umekujaaIla kuna makaburi mengine hayana aura kabisa, unapita usiku hata vinyweleo havisimami kama yale ya kinondoni.
tulia nimemuuliza zumbukuku mleta mada.Ukifa umekufa hakuna cha kusikiaje hapo
Watu wameshaondokewa na aibu.. sio masihara watu wanapigana sana miti paleEti watu wanapigana miti makaburini...aisee nimecheka Sana😂