Baada ya mnenguaji wa kijita Likangi Lugola kuondoshwa kwa aibu ya kudokoa mboga mimi naona Rais amteue mrema kuichukua iyo nafasi maana iko ndani ya uwezo wake kabisa na hii itamsaidia kusahau yale madeni yake ya bil 2 anazoidai serikali
ngoja tumsubiri mayala Pascal Mayalla
ngoja tumsubiri mayala Pascal Mayalla