Audio: Heche alivyobaka demokrasia kwa kukimbia katiba ya chama dhidi ya Habib Mchange

Mtela Mwampamba, nimeisikiliza clip kumbe huyu Mchange ni mbishi hana utii!!! Wewe unaitwa kikao cha viongozi kina agenda na wewe unataka kuweka agenda zako? Ni mbishi hafai kuwa kiongozi wa CDM iliyo makini!! Anaongea kwa jazba na uswahili mwingi sana!!! Hana umakini wowote wa kumfanya aendelee kuwa mwanachama au kiongozi wa CDM!! After all inasemekana alichukua hongo akarubuni matokeo ya Kibaha mnjini!!! Aje hapa abishe!! Ni SSM mbadala huyu!!
 
Mtela, Pole sana nadhani ulisahau mara zote taasisi kama CHADEMA ina chaguo. Ni wazi ulipofika wakati wa kuchagua kati yako wewe na wenzako (PM7) na Ndg J. Heche, wana CDM waliamua kuchagua upande wa Ndg Heche. Ni wazi kuwa ni lazima ukubaliane na hilo na kama ni mpambano ulishashindwa na ni vigumu kusimama. Nadhani utamlaumu sana aliyekushauri kiasi cha kupotoka kiasi hicho. Kubwa na muhimu hata leo hii uamue kujiunga na chama chochote ujue wazi ni vigumu sana kukuamini 100% maana wamesikia na kuona matendo yako. Hivyo ni lazima watakuwa na tahadhari kubwa juu yako. Hakika itakuchukua muda kujenga taswira inayokubalika katika jamii. Nikushauri tu 'OMBA RADHI KWA CHAMA NA VIONGOZI WAKO UMEWAKOSEA". Usidharau ushauri huu, hata kama hutakuwa mwana-CDM lkn hatua hiyo inaaana kubwa sana. Wengine hapa hatukufahamu zaidi tumekuwa tukisoma maandiko yako kwenye mitandao ya kijamii kwa kweli una makosa. Jaribu kutafuta ushauri kwa watu ambao si marafiki ama ndugu watakueleza ukweli. Marafiki kwa kawaida wanapenda kukufurahisha kwa hofu ya kupoteza urafiki hivyo si rahisi kutoa ushauri makini (kama wapo ni wachache sana).

Umempa ushauri mzuri sana, tatizo anajiona mbabe wakati hawezi mashambulizi. Mtela Mwampamba kubali ushauri wa bure. Kwa namna hii unajiua kisiasa.
 
Mtela! ivi ukpost thread huwa unasoma comments?
kama huwa unasoma, ni nini unachoelewa?
kama huwa husomi je, huwa unapost kwa malengo gani? (zaidi ya kuangalia maoni ya wadau?),
je, kuna mtandao wowote wa kijamii, member wake wanakusapoti? jbu please
 
Hapo ulipo huna hamu ukiona jinsi baraza kuu lilivyowapongeza viongozi kwa kazi nzuri wanayofanya.
 
Kitendo cha mwenyekiti kukataa refrence ya katiba kinadhihirisha kuwa kikao kilikuwa kimeshafanyiwa maamuzi kabla hakijaitishwa.
Kwani kuna ugumu gani kufungua katiba na kuelezana umuhimu wa kufanya yale yanayopaswa kufanywa?!!!
 
Uzuri ni kwamba kati ya wajumbe waliochangia ni mmoja tu amemsupport na wengine wanne wamekataa hoja ya Mchange.Democrasia inasema 'wengi wape' Democrasia imefuatwa hapa na Heche alichofanya ni kutangaza tu msimamo wa walio wengi.Lakini inachukuliwa kama hayo ni maamuzi ya Heche.Kweli masalia walistahiki kufukuzwa maana hata behavior yao inaonekana ini mbaya. Waendelee tu kuajianika zaidi kwa kutoa Audio nyingine ili tuwafahamu zaidi tabia zao.
Halafu wanalalamika hawakupewa nafasi ya kujitetea.Stupid
 
Jamani, mbona Heche na wajumbe wengine wameongea kwa busara sana kuliko huyo Mchange? Mbona huyo Mchange ndo ameongea kwa matisho na nyodo kuliko hata wajumbe wa kikao? Katika kujibu hoja za Mchange, Heche ametumia busara kubwa na lugha ya staha, na ya upole, kuliko hata mimi binafsi nilivyotegemea. Wewe Ganzi (Mtela) hapa umeileta hii kujidhalilisha tu zaidi. Hata post zako nyingi za Facebook zinaonyesha nyinyi ndio mmetindikiwa na akili na wala si heche. Kwa ujumla mnatia kichefuchefu. Oneni aibu!!!!
Mkuu mbona nashindwa kuifungua?
 
CDM kweli mnafanana na jina lenu.hata democracy ya kitoto tu inawashida ndo mnataka nchi ambayo ni ya vyama vingi?
Mwampamba anachopigania ni uonevu na ukiukwaji wa haki kwa mujibu wa katiba.
Katiba ya CDM tu Kuifuata inakua issue je ya Tanzania?
je ccm wanaweza fuata katiba yao? Katiba ya nchi ndo usiseme,kila siku kikwete anaivunja,mara ateue majaji wasio na sifa, ni balaa tupu!
 
Mtela Mwampamba mbona umemuuza mwenzako yaani Mchange !? Hivi unajua kuwa umefunua umbumbu na ukosefu wake wa nidhamu ambao wengi tulikuwa hatuuji !? Anapinga uwepo wa kusanyiko hilo wakati huohuo anakubali kuja kwenye kusanyiko hilo. Anashindwa kuheshimu kiongozi wa kusanyiko kwa kuja na hoja zisizo na kichwa wala miguu !
 
Last edited by a moderator:
............. husema moyoni mwake chadema hakuna demokrasia, lakini huyo huyo husema ataipigania haki yake chadema na hapohapo husema atajiunga na chama cha kitunguu swaumu, haeleweki...........
 
Hii audio kama ni kweli basi hata mimi naamini kwamba hakuna demokrasia ya kweli ndani ya CHADEMA, ni porojo tu la nje.

 
mbona nimeikiliza hiyo audio dogo ndo anaonekana hana nidhamu,

Inawezekana tafsiri yako ya nidhamu ndio ina walakini. Nilivyosikiliza ni kuwa alikuwa akiomba mwongozo wa mwenyekiti kwa mujibu wa katiba kama ambavyo wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakiomba mwongozo wa spika bungeni kwa mujibu wa kanuni za bunge. Tatizo lilikuwa wapi kwa mwenyekiti kumsikiliza na kumtolea ufafanuzi kwa mujibu wa katiba ya chama?
 
Inawezekana tafsiri yako ya nidhamu ndio ina walakini. Nilivyosikiliza ni kuwa alikuwa akiomba mwongozo wa mwenyekiti kwa mujibu wa katiba kama ambavyo wabunge wa CHADEMA wamekuwa wakiomba mwongozo wa spika bungeni kwa mujibu wa kanuni za bunge. Tatizo lilikuwa wapi kwa mwenyekiti kumsikiliza na kumtolea ufafanuzi kwa mujibu wa katiba ya chama?
hivi kweli kama kikao hicho hakina uhalali mbona kimeweza kumfukuza na makao makuu wakabariki?
yaani yeye ndo anataka aongoze kikao?
 
Kafulila alikuwa na akili sana kwani alipoondolewa kwenye uongozi kimya kimya akahamia nccr ambako hakutaka kuendelea kujichafua mpaka alipopata ubunge. Hawa siwaelewi lengo lao ni nini! Hawajui kwamba hizo ahadi walizopewa hawatapata na wataendelea kuwa frustrated na maisha na watazidi kupotea.
 
Kaka nakushauri endelea tu na maisha yako!! Siasa siyo taaluma!! Fanya kazi tunza familia yako! Kuna maisha pia nje ya siasa!!
 
kwaheri bhana kumbe waikumbuka CDM? SISI WALA HATUKUKUMBUKI TUNAFURAHI KUONDOKEWA NA MZIGO.
 
ndo nini sasa??? mtalala mtaamka mtakula mtaenda toi but ukweli unaendelea kubak palepale kuwa ninyi masalia sio wanachama halali wa CDM!!!! Teh eteh teh teh
hadi raha mnavotapatapa
 
Back
Top Bottom