Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Ni kweli
ndio maana zinauzwa bei ghali kuliko Audi huko kwenye soko la mitumba.Crown build ina poor build quality.
Ndani ya muda mfupi mabati yanaanza kuchakaa mengine yanaanguka yenyewe.