franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Kiungo mshambuliaji fundi wa Simba aliyekuwa majeruhi, AUBIN KRAMO amerejea nchini akitokea Ivory Coast na fasta akapanda boti kwenda kuongeza mzuka kikosini mjini Unguja, Zanzibar. .
Kramo aliyekuwa Ivory Coast alikoenda kufanyiwa upasuaji wa goti, alitua jana Alfajiri na jioni yake alienda Zanzibar, huku akiweka bayana yupo fiti na kilichobaki ni kupiga kazi baada ya kushindwa kuitumikia timu hiyo tangu asajiliwe kutoka Asec Mimosas. .
Hata hivyo, daktari wa Simba, Edwin Kagabo alisema anasubiri kumuona nyota huyo kabla ya kutoa taarifa rasmi. Akizungumza baada ya kurejea, Kramo alisema ameimarika kiafya licha ya uwepo wa maumivu madogo na uzito kuongezeka kutokana na kutofanya mazoezi muda mrefu kwa sababu ya matibabu.
Nini maoni YAKo apewe Muda au aachwe dirisha hili dogo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kramo aliyekuwa Ivory Coast alikoenda kufanyiwa upasuaji wa goti, alitua jana Alfajiri na jioni yake alienda Zanzibar, huku akiweka bayana yupo fiti na kilichobaki ni kupiga kazi baada ya kushindwa kuitumikia timu hiyo tangu asajiliwe kutoka Asec Mimosas. .
Hata hivyo, daktari wa Simba, Edwin Kagabo alisema anasubiri kumuona nyota huyo kabla ya kutoa taarifa rasmi. Akizungumza baada ya kurejea, Kramo alisema ameimarika kiafya licha ya uwepo wa maumivu madogo na uzito kuongezeka kutokana na kutofanya mazoezi muda mrefu kwa sababu ya matibabu.
Nini maoni YAKo apewe Muda au aachwe dirisha hili dogo??
Sent using Jamii Forums mobile app