Teh teh, nimemkumbuka yule ofisa wa Kijitonyama.Atakuwa alisukumizwa huyo!!
Teh teh, nimemkumbuka yule ofisa wa Kijitonyama.Atakuwa alisukumizwa huyo!!
huu ni uzembe mkubwa sana,shimo lipo usawa wa ardhi heri hata ingekuwa na kuta refu,sijui hiyo mitaa watoto wanaishije,hapo mtoto hata akitambaa anatumbukia kirahisi,huu ni uzembe mkubwa sana na inasikitisha kazi ya lisaa moja kufunika shimo au kuweka uzio imeshindikanaBwana anahusikaje kwenye uzembe kama huu! Hivi eneo kama hilo litaachwaje wazi bila kufunikwa halafu yakitokea maafa tuseme Bwana ametwaaa! This is sickening!
Aliyekuwa Mgombea ujumbe CHADEMA baada yakutangaziwa kuwa ameshinda akawa anaelekea uani karibu na choo kulikuwa na shimo la choo ndipo alipodumbukia na mauti kumpata. Ndani ya shimo pia palikuwemo na maji. Tukio hili limetokea Katika Kituo cha Msalala Road,Geita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Amen
Picha hii inaonyesha shimo alilotumbukia marehemu Bethar Nchimani Ngosha.
huu ni uzembe mkubwa sana,shimo lipo usawa wa ardhi heri hata ingekuwa na kuta refu,sijui hiyo mitaa watoto wanaishije,hapo mtoto hata akitambaa anatumbukia kirahisi,huu ni uzembe mkubwa sana na inasikitisha kazi ya lisaa moja kufunika shimo au kuweka uzio imeshindikana