Mwanamke mmoja nchini Kenya ambaye amehifadhiwa jina lake, alijikuta katika wakati mgumu sana uliopelekea Afya yake kuzorota mpaka kukaribia kufa.π³π³
Ni baada ya kujiingizia ndizi ukeni ambayo ilizama moja kwa moja na kushindwa kuitoa.π³π€―
Baada ya hapo, alianza kusikia maumivu makali huku ndizi ikianza kuoza taratibu .π³
Mwanzo aliona aibu, kwenda hospitali lakini mwishowe alikubali ndipo walipomtoa ndizi hii ambayo ilikuwa imevishwa condomπ
View attachment 3277381
SWALI NINI KINAPELEKEA MAAMUZI KAMA HAYA KWA MABINTI WENGI?