Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 373,352 Reaction score 865,002 Jun 21, 2015 Thread starter #2 Eti inaona inasikiliza inajua inashiriki inakaa macho 'unapofanya' inahusika na maneno yako na kuwafuatilia wapendwa wako....kweli mchina ni noma
Eti inaona inasikiliza inajua inashiriki inakaa macho 'unapofanya' inahusika na maneno yako na kuwafuatilia wapendwa wako....kweli mchina ni noma
S stvunderson Member Joined Dec 11, 2013 Posts 21 Reaction score 2 Jun 21, 2015 #3 Mi sijaelewa kabisa
xuxu meyu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2014 Posts 426 Reaction score 370 Jun 21, 2015 #4 Yaani umeniacha njiapanda au nungwi kabisa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 373,352 Reaction score 865,002 Jun 21, 2015 Thread starter #5 stvunderson said: Mi sijaelewa kabisa Click to expand... xuxu meyu said: Yaani umeniacha njiapanda au nungwi kabisa Click to expand... Hayo maandishi bandugu yapo kwenye box la simu ya kichina yakijinasibu ubora na simu yenyewe
stvunderson said: Mi sijaelewa kabisa Click to expand... xuxu meyu said: Yaani umeniacha njiapanda au nungwi kabisa Click to expand... Hayo maandishi bandugu yapo kwenye box la simu ya kichina yakijinasibu ubora na simu yenyewe
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,261 Jun 21, 2015 #6 Nilichowahi ona ni kuna chip ilifanyiwa majaribio na Watu wa Iphone, inakuwa planted katika mwili wako then unaweza fanya mengi bila kugusa simu
Nilichowahi ona ni kuna chip ilifanyiwa majaribio na Watu wa Iphone, inakuwa planted katika mwili wako then unaweza fanya mengi bila kugusa simu
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 21, 2015 #7 ngoja nitafute mwiko nipakue ubongo wangu
east36 JF-Expert Member Joined Aug 4, 2013 Posts 1,351 Reaction score 609 Jun 21, 2015 #8 Laved ones - Loved ones.
C Capt Nemo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 1,445 Reaction score 681 Jun 21, 2015 #9 kiongozi kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe umeniuzia mbuzi kwenye gunia...unaweza post mechanism ya kufungua ndani ya box ili tujue kama yaliyomo yamo???
kiongozi kwa mara ya kwanza tangu uzaliwe umeniuzia mbuzi kwenye gunia...unaweza post mechanism ya kufungua ndani ya box ili tujue kama yaliyomo yamo???
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 373,352 Reaction score 865,002 Jun 21, 2015 Thread starter #10 r_baharia said: Laved ones - Loved ones. Click to expand... Made in china
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,616 Reaction score 19,000 Jun 21, 2015 #11 Hiyo Mimi hapana....