Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,520
- 86,078
Kaka hujaacha tu?? HahahaaKuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Kaka hujaacha tu?? HahahaaKuna watoto walikuwa na Alteza hawakujua kama huu moto ni hatari niliwapita na kuwatumia hii picha hawakujaribu tena kufuata.View attachment 783802
Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
yes kaka hizo gari zinakimbia but still zina wababe road one day natoka mtwara kuja dar nilikua kama na 130 ivi nikamuomba jamaa kagoma nilikuja kumu overtake na 160.....Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
siku nyingine andaa jeneza nyunbani ndiyo ukachezee speed hizo.....Hahahaha Mzee Ile Ni Habari nyingine, Unakumbuka picha ulinitumia Ukiwa 180km/hr?? Mzee wewe ni nouma! Unakumbuka Subaru legacy tuliitembeza 180km/hr wakati tunakwenda msibani? Those days Duh
Haitakaa nitembee speed hio tena!! Gari yenyewe nilishaiuza, Sitaki tena nikikimbia Sana mwisho 150km/hr. Nina watoto sasa wakubwa wananitegemea. Sitakiiisiku nyingine andaa jeneza nyunbani ndiyo ukachezee speed hizo.....
VW aina gani mkuu!Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Mpwa wacha woga bwanaHaitakaa nitembee speed hio tena!! Gari yenyewe nilishaiuza, Sitaki tena nikikimbia Sana mwisho 150km/hr. Nina watoto sasa wakubwa wananitegemea. Sitakiii
VW Polo,Amarok,Tuareg au vw gan ?Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
carina na crown wapi na wapi. carina mwenzie paso na vits tu. crown na mark x na brevis au aud au benz au bmd apo sawa.Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
it depends on the driving style. hiyo auto inapigwa kama manual, ataisoma tuMwoga spidi 160 to 175?
Chuma ya mjerumani nomaSiku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Mi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama NissVW Polo,Amarok,Tuareg au vw gan ?
Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbaliVW Polo,Amarok,Tuareg au vw gan ?
Mkuu gari ikiwa ya juu juu huwezi kukimbiaWazee wa league nawaona tu.. Mbona magari yenyewe yapo chini sana, Mnapata wapi ujasiri wa kutembea speed zote hizo