Mkuu unazifahamu vw lakini?huwezi shindana na gari ya speed 240Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Mkuu unazifahamu vw lakini?huwezi shindana na gari ya speed 240Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Mkuu usijaribu kuliendesha hilo prado kwa spidi hio sio gari stable kabisa kwanza lipo juu juuniambieni na hii gari yetu landcruiser prado SKZ ENGINE DIESEL, alafu ni TURBO, niliifungua speed 140 hadi gari inapiga mluzi, na tyre zikitanuka kwenda nje,, nilivipita visubaru na vialtezza, kama napita baiskeli tu. sijui hiyo athlete crown kama ingenikamata kwa kweli.
obvious sio VW Golf atakua anaongelea Tuareg huyu, ndo zimejaa mjini!..VW aina gani mkuu!
tuareg chuma ya hatari hiyo dashboard 260km/hrMi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama Niss
Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbali
Unaizungumzia tuareg,jamaa hakuamua tu,huwezi shindana na hiyo gariMi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama Niss
Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbali
Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Mjerumani habari ingine speed yake mpaka 260kph
mkuu polo 200 km/h haisumbui(iko stable)Hiyo gari mwisho speed 180 ikifika 140 inatetema hamna kitu kwa ford kuga speed 180 gari ipo very stable au vw ndogo tu hz polo
Ha ha,, haina noma big broo,, hyo ni Tuareg na ilikuwa na haki ya kuwaacha na msiione tena aseeMi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama Niss
Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbali
Hata kama tuareg,crown haiwezi kufata hiyo gariobvious sio VW Golf atakua anaongelea Tuareg huyu, ndo zimejaa mjini!..
Crown Majesta ya mwaka 2013 ina engine hii 3UZ-FE V8 4300cc. Hii ni zaidi ya AthleteMkuu athlete naona ipo juu kidogo zaidi ya majesta
Nafikiri athletes ni new model
Combi!!!VW Polo,Amarok,Tuareg au vw gan ?
Speed kama hiyo huwezi endesha mimi nikiwa ndani, labda kama roho nimeacha home. Sasa speed kama hiyo ni kuwahi au misifa tu!Mkuu hongera hilo gari aisee ni noma