hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Wewe siumesema kwamba kila kitu tumeiga kwa wazungu Au sio wewe Sasa unashangaa Nini kuhusu ulicho shauriwa wakati mwenyewe ndiye ulishauri tuache kufuata Mambo ya wazunguKwa hiyo uko tayari tutembee UCHI dunia nzima na tuabudu mababu zetu chini ya MITI? Hiyo ndio AKILI yako kweli???