ATC First years

ATC First years

cchrispian

Member
Joined
May 9, 2013
Posts
16
Reaction score
5
Naomba wale tuliochaguliwa kujiunga chuo cha Ufundi Arusha (ATC) tufahamiane
 
wapendwa hivi mbona nalipa ada alafu wananambia account ya atc inagoma kudeposit mnavolipa mnafanyaje nisaidien mana mda wa admission unaelekea ukingoni
 
wapendwa hivi mbona nalipa ada alafu wananambia account ya atc inagoma kudeposit mnavolipa mnafanyaje nisaidien mana mda wa admission unaelekea ukingoni
Lipa kwa posta account number 0260000398 hio lipia mahitaji yote kasoro Bima ambayo ni 50400 hio unalipa kwa Nmb akaunti number 40810032308 Account Name Arusha nhif collection account usisite kuuliza Chochote karibu sana Atc mkuu
 
Lipa kwa posta account number 0260000398 hio lipia mahitaji yote kasoro Bima ambayo ni 50400 hio unalipa kwa Nmb akaunti number 40810032308 Account Name Arusha nhif collection account usisite kuuliza Chochote karibu sana Atc mkuu
tatizo ni kwamba nilijaribu kilipia mfanyakaz wa bank tpb akasema hiyo account ya chuo inagoma kudeposit nhif silipi mwanafnz anacho kitambulisho toka mda mrefu
 
Lipa kwa posta account number 0260000398 hio lipia mahitaji yote kasoro Bima ambayo ni 50400 hio unalipa kwa Nmb akaunti number 40810032308 Account Name Arusha nhif collection account usisite kuuliza Chochote karibu sana Atc mkuu
nilipouliza chuon wanasema nitumie index number ya form four hapo ckuelewa kwakweli
 
nilipouliza chuon wanasema nitumie index number ya form four hapo ckuelewa kwakweli
Ebu kajaribu leo kama ni continue student means ana admission number ambayo ndo unapaswa uandike ktk pay slip
 
NASHUKURU SN KWA USHAURI MKUU ILA NI FIRST YR
Kama ni first year aandike jina lake juu na index number Payment account ni hizo na akimaliza afanye online registration bado dirisha liko wazi very soon watafunga, Yuko selected course gani?
 
Back
Top Bottom