ninani alikufa kwa kumpinga kikwete mwaka jana?
Waliokuwa wanaamini utabiri wa Marehemu Sheikh ni sawasawa na wanaoamini dawa ya Babu wa Loliondo.
una mchungaji alisema kuwa sheikh yahaya atakufa . ni nani vile?
mchungaji Gwajima. alimuonya kwa kuwatabiria wenzie vifo akamwomba aende kwake akatubu vinginevyo atakufa, akakaidi. mambo hayo