Atakayempinga Kikwete kufa

ninani alikufa kwa kumpinga kikwete mwaka jana?

Marehemu alisahihisha kauli yake muda aliotaja ulipopita bila utabiri kutimia,ni kati ya utabiri ambao binafsi sikuupenda kabisa!RIP Sheikh Yahya Hussein
 
Waliokuwa wanaamini utabiri wa Marehemu Sheikh ni sawasawa na wanaoamini dawa ya Babu wa Loliondo.
 
Shehe mwenyewe. Du kumbe alikuwa anampinga kikwete yeye mwenyewe. Mashetani yanatambuana ...
 
mchungaji Gwajima. alimuonya kwa kuwatabiria wenzie vifo akamwomba aende kwake akatubu vinginevyo atakufa, akakaidi. mambo hayo

hivi ni nani ambaye hatakufa? How can you claim to predict the obvious? angekuwa mtabiri basi angetabiri siku na saa ya kifo na siyo kusema tu kuwa asipotubu atakufa!!
 
Back
Top Bottom