Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
- Thread starter
- #81
maongezi si TCRA tu na IT wao wanamaliza hiyo kazi ndani ya sec 5Kitochi ni ngumu kudukuliwa Mkuu....kudua mawasiliano ya sauti ni rahisi...nahisi iPhone wanaongelea kudukua taarifa za kimawasiliano kama vile kuweka virus na kudukua email...lkn maongezi unadukua tu.