BelindaJacob Platinum Member Nov 24, 2008 6,474 4,022 May 31, 2011 #21 Maandalizi ni muhimu kwenye kila kitu...
Masanja JF-Expert Member Aug 1, 2007 4,820 8,886 Jun 1, 2011 #22 Mavumbini tumetoka, mavumbini tutarudi. Jina bwana lihimidiwe. Masanja,
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Jun 1, 2011 #23 huu utaratibu sio mzuri, au amekufa wanaandaa mazingira ndio watangaze?
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,709 Jun 2, 2011 #25 Tatizo huyu mzee wamemfanya biashara ndo maana wanatangaza sana hii kitu,let see!