Atafia mikononi mwangu

Muuee tuu coz akipona ataua wengne wengi,nakuomba na nakusihi dokta nakuomba sana muue huyo jamaa,me ucpomuua utaniboa sn,plizpliz kill him au kama unashnda niite nmuue me mwenyewe
 
acha use nge, mtibu huko
Kisasi kinalipwa kwa mtu anayejiweza, unakuwa coward wa kufa mtu.

In my life, siwezi lipa kisasi kwa siri, nikilipa nitataka ujue ni mimi, ili kama unamashambulizi uyaelekeze sehemu muafaka.
 
Za mwizi arobaini, mmalizie kwa mbali.
 
Usifanye hivyo, usichukuwe sheria mikononi mwako.

Wewe ni Daktari na msomi unaweza kutumia njia nyingine za kisheria huko mbele ya safari. Kwa kuwa ni vigumu wewe kumtibu kama mgonjwa mwingine yeyote yule call in sick ukapumzike uwaachie wengine wamshughulikie.

Kumbuka, kama kifo cha rafiki yako kimekutesa basi cha wewe kuuwa kwa makusudi kitakutesa zaidi.

Don't do it.
 
Usiue usiue usiue usiue namuomba Mungu sauti hii ikusumbue mpaka uache hicho unachofikiria. Kumbuka hakuna mwenye haki ya kuutoa uhai wa mtu mwingine au kulipiza kisasi. Huyo rafiki yako alipoamua kufanya biashara haramu je unajua ni wangapi walidhurika/kufa kwa sababy ya yeye kukubali kuingia kwenye dili. Kumbuka ziko njia nyingi zionekanazo nzuri machoni pa mtu lkn mwisho wake ni mauti. Pia elewa kuwa ukiingia chama cha wachawi huwa hawatokagi , kama utatoka basi adhabu yako ni kifo na ndicho kilichomtokea rafiki yako. Ni heri ukafanya sehemu yako kama dr na Mungu atakulipa. Hebu jiulize utalipa visasi vingapi chini ya jua hili. Uko udhalimu mwingi mno pengine hata hao uwaonao wema machoni pako ukifunuliwa watendayo sirini hutaamini na utasema kama ndio hivi basi vitu vyote ni ubatili.
 
Ni bora kuokoa maisha ya vijana wetu maalfu kwa kuondoa huyo mmoja

in fact utakua hujaua, utakua umekamilisha tu safari yake maana tayari keshaisha....

hakikisha kabla hajafa rasmi unamfanya ajue kuwa aliua na ni muuaji wa vijana through madawa ya kulevya

tunalea sana ujinga
 

hawa watu (maawa ya kulevya) wameshashinda mamlaka karibia zote dawa yao ni elimination tu

kama dini zilienezwa kwa upanga, ubinadamu gani huu tulionao wa kulea wauza madawa ya kulevya tena wauwaji wakubwa??

hii ni hypocrisy ya hali ya juu

DR. USIUE HUYO MGONJWA, MSAIDIE TU AISHIE... UTAKUA HUJAUA ILA TECHNICALLY UTAKUA UMEFANYA MEDICATION ERROR
 
Hata ukimuua rafikiyo hatarudi na kifo chake hakita undo yaliyokupata maishani.
Msamehe tu umtibu,hukumu yake atakutana nayo kwa aliyemuumba.
USIHUKUMU
MNAWAZA HUYO RAFIKI TU.... HIVI MNAJUA WATU WANGAPI WANATEKETEA KWA MADAWA YA KULEVYA??? mnajua huyo jamaa kaua wangapi?? na si ajabu ni mfadhili wa wanasiasa

he deserves to die
 

Ni busara kubwa sana hii mama mzazi!
 
Mlambee ukimwacha ataangamiza vijana wengi sana.
 
MNAWAZA HUYO RAFIKI TU.... HIVI MNAJUA WATU WANGAPI WANATEKETEA KWA MADAWA YA KULEVYA??? mnajua huyo jamaa kaua wangapi?? na si ajabu ni mfadhili wa wanasiasa

he deserves to die
Na unafikiri kumuua huyu kutaua huo mtandao wa madawa?
Madawa ni janga ila kumuua huyu si dawa ya kutokomeza janga hili.
Akimuua huyu hatopata amani kamwe!!!
 
USIUE PLZ USIUE DR.
acha kabisa shetani hilo la kuua likutoke uakuja kuumia sana rohoni na itakutesa

pole sana omba dr mwingine amwagalie na kumtibu
 

Najua bdo una machungu bdo lkn ukumbuke hatujapewa hyo hukumu ya kuua xo kazi kwako umtibu or kill him de decision iz in ur hand bro
 
Ni hadithi au? Nyway,mungu pekee ndo mwenye kutoa hukumu utapata dhambi za bure muhudumie tu kama wagonjwa wengine.
 
Najua bdo una machungu bt ukumbuke hatujapewa hyo hukumu xo ur decision iz in ur hand kumtibu or kill him
 
Hongera kwa kushirikisha jukwaa,mungu ana hekma na wewe.Mungu ndo hakimu wa haki.
 

Unachosema kina mantik lakini asijichukulie sheria mkononi akiwa kazini kwake.
 

Mkuu,
Utampigaje mtama mtu ambaye tayari ameanguka chini?

Kutoa uhai wa mtu makusudi pasi kuwa na mihadarati kichwani yahitaji moyo.

Nafsi ya hatia itakuandama Sana maana hata hao majambazi na wachawi Kuna pilika hufanyika baada ya kutoa uhai wa mtu.

If you're ready for that then go ahead!!
 
Najua how u feel, kuona maisha ya rafiki yako yanakatishwa hivi hivi. Na bado kwa kuwepo hai kwake maelf elf ya maisha ya vibaya yanaharibiwa kama siyo kufa kabisa. Huyo rafiki yako likuwa punda, kaleta sana mizigo ambao imeangamiza vijana wengi sanaa

Nakushauri, kwa imani yako kwa muumba wako, muombe akupe njia sahihi huku ukijua yeye ndiye mtoa hukumu mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…