Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Kwa nini mnapenda uchochezi usiyo na msingi?
Unaiamsha fitina ili iweje?
Unapenda kuona watu wanaparuana kwa matusi, kejeli na kudhihakiana?
uchochezi wangu upo wapi apo?
Kwa nini mnapenda uchochezi usiyo na msingi?
Unaiamsha fitina ili iweje?
Unapenda kuona watu wanaparuana kwa matusi, kejeli na kudhihakiana?
Marekani na vibaraka wake ndiyo chanzo cha machafuko duniani,,, na ukifatilia almost zote ni nchi za kiarabu, pa1 na Afghanistan n.k. Iran bado wanafanya kila njia waivuruge lakini wameshindwa. Na zote ni nchi za kiisilamu.
Ukiona mmatumbi anawatetea hao nguruwe ujuwe sababu za kiimani tu,,,, na sio kingine. Lakini kuna baadhi ya wakristo hawafurahishwi wanachokifanya mabeberu dhidi ya nchi za kiarabu/Kiisilamu, awa wanajitambua, na hawajipendekezi kwa mabeberu. Wabarikiwe.
Sasaivi eti wanasema Urusi na China wanaplay part ya hapo
kumbe hawataki maskini wanalazimishwa
Twenty-two American soldiers killed themselves today because of the media-championed wars they didn't want to fight. But US media only mentions 12 marines. Tomorrow, another 22 US soldiers will kill themselves. And the day after, and after, and after.
Acha zako ww, walikua wanaishi vizuri tu, nchi zote sio tu hio hata Libya na Iraq kulikua fresh tu, makafiri kinachowaumiza ni dini tu wanakua hawana raha rohombaya zimetawala ktk vifua vyenu, HAWATORIDHIKA MAYAHUDI NA MANASWARA MPAKA MFUATE MILA ZAO
Ndio maana kutwa mnawaza vita tu na pandikizi za chuki na kuwagawa watu
Yaani nyinyi ni kupora mali na chuki za kidini
Haya magaidi yameanza kuuana wao kwa wao
Kwahio unamaanisha Serikali ilioekwa na Marekani ndio halali ile ya wao wenyenye sio halalihaijalishi ni nani kapiga bom kazi ya kuilinda afganistani ipo chini ya talibani wao ndiyo wanaobeba lawama zote, acha kuleta mbwembwe shekhe kwenye maisha halisi tuweke siasa na mahaba ya kidini kando ifike mahali tujali uhai wa watu, talibani wameiondoa serikali iliyokuwa madalakani kihalali sasa ni jukumu lao pia kulinda maisha ya waafganistani,
Kwahio unamaanisha Serikali ilioekwa na Marekani ndio halali ile ya wao wenyenye sio halali
"wanakupenda kwa makafiri"uchochezi wangu upo wapi apo?
Mstaarabu wewe kwani wanaochinjana si waislamu kwa waislamu?makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Kwahio unamaanisha Serikali ilioekwa na Marekani ndio halali ile ya wao wenyenye sio halali
"wanakupenda kwa makafiri"
Hii kauli kwa mtu mwenye nidhamu hawezi kuitumia kwa sababu anajua athari ya matokeo ni yapi hususani humu JF.
Na ndivyo historia ya Jf humu ndivyo ilivyo na historia ni "fact".
Wewe unaitumia hii lengo lako ni lipi kama si kuiamsha fitina watu waparuane?
Na huo ndiyo uchochezi.
kauli hii anapoitumia [mention]STRUGGLE MAN [/mention] ya kuita watu makafiri kwako inakuwa sawa ila tatizo ni pale anapoitumia mtu unaye hisi si wa imani sawa na yako,
View attachment 1912224
Kwa nini unatumia sana hisia kuutafuta ukweli?
Hakunijibu kwa sababu anajua alichokifanya!
Kuna watu humu wanatakiwa watumiwe majibu ya force kutokana na mabaya kutokana matamshi yao, sio wote wanastahiki majibu ya upole, nadhani sio mgeni ww humu ndani, mtu anapokuita gaidi au kumtukana Mtume siwezi kumvumilia lazima apate majibu mkabalaView attachment 1912224
Kwa nini unatumia sana hisia kuutafuta ukweli?
Hakunijibu kwa sababu anajua alichokifanya!
Kuna wahuni humu, mkitumia lugha nzuri tutaenda vizuri mkitumia lugha mbaya tutaenda na nyinyi mpaka akili ziwakae sawa we don't f...kn caremkuu wewe ni mmoja kati ya watu wenye hekma humu jf
Inawezekana NETFLIX wako location punguzeni wasiwasi.